KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 876
usiseme waislam wanataka mahakama ya kadhi. sema "waislam wanachama wa BAKWATA" kwasababu jumuiya za kiislam kama 11 hivi ambazo haziisapoti bakwata zinaipinga hii mahakama kuliko hata wakristo wanavyoipinga. hivyo waislam na wakristo wanaipinga mahakama hii, isipokuwa bakwata na waislam wanaowasapoti bakwata ndio wanaitaka. na hao wa bakwata wanaoitaka ni asilimia ndogo sana ya waislam nchini.Waislamu wanataka mahakama ya kadhi...Wakiristo hawaitaki.wote ni watanzania wana haki sawa.Ombi langu hii katiba pendekezwa ipigwe STOP,tuweke Tume huru,matokeo kuhojiwa mahakamni,mgombea binafsi ktk katiba ya sasa tuendelee na uchaguzi.Hii itatoa muda wa mjadala mpana kati ya wakiristo na waislam na mwisho wake wataelewana tu....wote ni watanzania na tumekuwa pamoja tokea ukoloni.
usiseme waislam wanataka mahakama ya kadhi. sema "waislam wanachama wa BAKWATA" kwasababu jumuiya za kiislam kama 11 hivi ambazo haziisapoti bakwata zinaipinga hii mahakama kuliko hata wakristo wanavyoipinga. hivyo waislam na wakristo wanaipinga mahakama hii, isipokuwa bakwata na waislam wanaowasapoti bakwata ndio wanaitaka. na hao wa bakwata wanaoitaka ni asilimia ndogo sana ya waislam nchini.
Waislamu wanataka mahakama ya kadhi...Wakiristo hawaitaki.wote ni watanzania wana haki sawa.Ombi langu hii katiba pendekezwa ipigwe STOP,tuweke Tume huru,matokeo kuhojiwa mahakamni,mgombea binafsi ktk katiba ya sasa tuendelee na uchaguzi.Hii itatoa muda wa mjadala mpana kati ya wakiristo na waislam na mwisho wake wataelewana tu....wote ni watanzania na tumekuwa pamoja tokea ukoloni.
kindly increase the font size, space between words, space between lines and reinforce the sentences, then I will re-read again
Hapo kwenye RED umekosea Mkuu.
Waislamu wanaitaka na wana haki hiyo.
Mimi nadhani wakristo wanachokataa ni mahakama hiyo kuanzishwa na serikali na kugharamiwa na serikali.
Hapo ndio kwenye kutoolewana kwa maoni yangu.
Hapo kwenye RED umekosea Mkuu.
Waislamu wanaitaka na wana haki hiyo.
Mimi nadhani wakristo wanachokataa ni mahakama hiyo kuanzishwa na serikali na kugharamiwa na serikali.
Hapo ndio kwenye kutoolewana kwa maoni yangu.