Tamko kwa wanawake wote.!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwingine akitoa hizo mambo ndiyo anakua mzuri zaidi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwingine akitoa hizo mambo ndiyo anakua mzuri zaidi
Mmmmh wanawake wakianza kutumia hizo fake huwa wanakosa kujiamini kabisa yani...yaani kukaa dakika moja bila kuweka fake huwa hawawezi
 
Dah.... Nilikiona kitu matata sana kule fb... Siku ya mubashara ikanibidi tu nifake call ili nisepe.... Ilikuwa limao badala ya passion[emoji13] [emoji13]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alafu ishu unakuta mambo ya PM wanakuja kuyaleta public,
tutakuja kutoana ngeu siku moja
Mfumo jike wanasubiri sie tuwaanze lazima nao waanze kuchangamkia tenda wajimwage PM zetu au mwenzangu ulishawahi kupata PM kutoka kwa akinamama?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…