ANTHONY KWEKA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 957
- 379
Majina nimeyaona leo,yameshatoka hebu pitia website ya TamisemiHabarini waungwana,
Naomba kuuliza je TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?
Natanguliza shukrani kwa swali hapo juu
Aendelee kufanya kazi tu,maana mradi mshahara anapata inatosha,je angekuwa kwenye orodha ya vyeti feki kwa bahati mbaya?Kuna uwezekanano wa majina mengine ? Make naona jina la mke wangu alimo Amelia mpaka naona uruma .
Mimi ninayo ila sijui kuyaweka hapa.Naona afisa utumishi Gwamaka wa kisarawe katupwa Mafia.Majina nimeyaona leo,yameshatoka hebu pitia website ya Tamisemi
Kuna mtu ameyaweka.Mimi ninayo ila sijui kuyaweka hapa.Naona afisa utumishi Gwamaka wa kisarawe katupwa Mafia.
Siyo wote,wewe utoke kisarawe uende Mafia,kweli?Kuna mtu ameyaweka.
Lakini hao watumish si waliomba KUHAMA?
Kwanin unasema wengi wao ni magumash?Walitoka ni wale ambao document zao ni current na wengi wao ni magumashi believe it or not ushahidi ninao
Lazima uwe na referee pale au uwe na genuine reasonKwanin unasema wengi wao ni magumash?
MKUU barua zinatangulia kufika kabla ya majina. Kama umeona jina lako kila barua hujapata basi naenda halmashauri itakuwa imefungiwa kwenye dro tu.Kwa wale waliopata uhamisho au wenye uzoefu hivi inachukua siku ngp toka majina yatangazwe mpaka barua za vibali zifke halmashaur
kMKUU barua zinatangulia kufika kabla ya majina. Kama umeona jina lako kila barua hujapata basi naenda halmashauri itakuwa imefungiwa kwenye dro tu.
True nakubaliana nawe Sasa hivi TZ Bila dili mambo hayaendi.Majina yametolewa kidili dili sanaWalitoka ni wale ambao document zao ni current na wengi wao ni magumashi believe it or not ushahidi ninao
Hao watu walishahama ndo wanatoa majinaOrodha ya majina ya waliopata uhamisho haya hapa na mengine yameongezwa tarehe 27.09.2017
Naweza kuhama kituo kutoka mkoa hadi mkoa kwa njia gani rahisi?Habarini waungwana,
Naomba kuuliza je TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?
Natanguliza shukrani kwa swali hapo juu