Komando tamimy
Senior Member
- Nov 18, 2020
- 108
- 121
Kumekuwa kuna mambo mengi yanafichwa fichwa lakini madhara yake ni makubwa na miongoni mwa mambo ambayo mhe: Rais wetu aliyoyaongea alisema wizara hazi-communicate.
Unajua kila kitu kikimsubiri rais ndo aje afanye maamuzi kuna hakuna haja ya kuweka mawaziri kwani kazi yao kubwa imekuwa ni kusifia tu mpaka wewe ambaye unamsikiliza unaona aibu. Juzi nimeskia mhe jafo kwenye uzinduzi wa daraja la kijazi. Daaahh nikaisi sasa IQ yetu ina matatizo. Nakumbuka tulimsema sana JK hapa jukwaaani lkn tulikuwa tumeshau kumbe yeye ndo alikuwa amembeba akili za mawaziri wake.Unapokuwa waziri unatakiwa uwe mbunifu na ufanye kazi kwa weledi na si kazi ya kusifia tuu mpaka unatia kinyaaa.
Mimi nilidhani baada ya ushindi wetu wa kishindo na kuwashinda wale waliotuchelewesha kwenye maendeleo sasa Nchi itakimbia na mambo yatakuwa pouwa.Nimasikitiko makubwa mno waalimu walioingiaa kazini tangu tarehe mosi mwezi 12 hawajalipwa mshahara wa mwezi wa 12, 1 na wa2. Hivi Tamisemi kuna shida gani? Kwanini inashindwa kuwasiliana wizara ya fedha (hazina) ili waalimu hawa waingizwe kwenye mfumo wa malipo ya mishahara(payroll).
Nimejaribu kulifuatilia hili mpaka tamisemi zaidi mara 5 majibu unayojibiwa ni kwamba mara waziri wa mambo ya fedha ni mgonjwa naye ndio authorizing officer.
Mara ya pili tunahakiki TIN kwa walimu walioko kazini majibu ya mara pili.
Mara ya tatu nilijibiwa tunaondoa waalimu waliodanganya masomo katika uombaji wa ajira.
Jibu la nne ambalo lilinikatisha tamaaa kabisa ni nilijibiwa wanaajiri walimu wengine 5000 ili wakianza kulipa mishahara walipe kwa pamoja.
Niliwaambia kitu ki1 kwamba hebu na wewe fikiria kama ndo ungekuwa wewe uko kazini unafanya halafu hupewi mshahara ingekuwaje,? Ungeishije?! Rais kila siku anawazungumzia wanyonge, wanyonge wakubwa ni hawa au mpaka yafike kwa raisi?walipeni waalimu mishahara yao.Waalimu ni watu muhimu katika jamii wasidharauliwe.
Mzee Hasanali
Kada mkongwe
Kwa sasa niko KATAVI -MPIMBWE
Unajua kila kitu kikimsubiri rais ndo aje afanye maamuzi kuna hakuna haja ya kuweka mawaziri kwani kazi yao kubwa imekuwa ni kusifia tu mpaka wewe ambaye unamsikiliza unaona aibu. Juzi nimeskia mhe jafo kwenye uzinduzi wa daraja la kijazi. Daaahh nikaisi sasa IQ yetu ina matatizo. Nakumbuka tulimsema sana JK hapa jukwaaani lkn tulikuwa tumeshau kumbe yeye ndo alikuwa amembeba akili za mawaziri wake.Unapokuwa waziri unatakiwa uwe mbunifu na ufanye kazi kwa weledi na si kazi ya kusifia tuu mpaka unatia kinyaaa.
Mimi nilidhani baada ya ushindi wetu wa kishindo na kuwashinda wale waliotuchelewesha kwenye maendeleo sasa Nchi itakimbia na mambo yatakuwa pouwa.Nimasikitiko makubwa mno waalimu walioingiaa kazini tangu tarehe mosi mwezi 12 hawajalipwa mshahara wa mwezi wa 12, 1 na wa2. Hivi Tamisemi kuna shida gani? Kwanini inashindwa kuwasiliana wizara ya fedha (hazina) ili waalimu hawa waingizwe kwenye mfumo wa malipo ya mishahara(payroll).
Nimejaribu kulifuatilia hili mpaka tamisemi zaidi mara 5 majibu unayojibiwa ni kwamba mara waziri wa mambo ya fedha ni mgonjwa naye ndio authorizing officer.
Mara ya pili tunahakiki TIN kwa walimu walioko kazini majibu ya mara pili.
Mara ya tatu nilijibiwa tunaondoa waalimu waliodanganya masomo katika uombaji wa ajira.
Jibu la nne ambalo lilinikatisha tamaaa kabisa ni nilijibiwa wanaajiri walimu wengine 5000 ili wakianza kulipa mishahara walipe kwa pamoja.
Niliwaambia kitu ki1 kwamba hebu na wewe fikiria kama ndo ungekuwa wewe uko kazini unafanya halafu hupewi mshahara ingekuwaje,? Ungeishije?! Rais kila siku anawazungumzia wanyonge, wanyonge wakubwa ni hawa au mpaka yafike kwa raisi?walipeni waalimu mishahara yao.Waalimu ni watu muhimu katika jamii wasidharauliwe.
Mzee Hasanali
Kada mkongwe
Kwa sasa niko KATAVI -MPIMBWE