Tambwe Hizza: Nitagombea Urais

Tambwe Hizza: Nitagombea Urais

Akihojiwa na Radio Pride ya Mtwara leo saa 11 jioni, Tambwe Hizza amesema ana uwezo, nguvu, afya, elimu na akili za kuwa Rais wa tano wa Tanzania.

Amesema wakati ukifika atachukua fomu.
Alipoulizwa atagombea kama mgombea binafsi kama katiba itaruhusu amejibu kwa kifupi, CCM ndo baba lao.

Mytake: URAIS UMEKUWA RAHISI

daah kwa namna hii hata MSALANI nae si ajabu akatangaza kugombea urais.
 
Last edited by a moderator:
huyu hata jina lake tu halifai, eti rais wa jamhuri ya watanzania ndugu sijui bwana tambwe hiza, duu, n kama mkosi vile
 
Ujinga nikudhani urais ni kitu cha ajabu sana as if kuna watu fulani ndiyo wameumbwa kuwa marais...anybody cn b anythng kama kweli ana nia thabiti...acheni hizi mambo za ajabu oohh urais umekuwa rais my as.!
 
mwenye nia,sifa na uwezo na apewe nafasi.kwan kugombea kuna kosa gan?hata mjumbe wa nyumba kumi akitaka urais poa tu.c ana cfa za kua mgombea?
 
Ujinga nikudhani urais ni kitu cha ajabu sana as if kuna watu fulani ndiyo wameumbwa kuwa marais...anybody cn b anythng kama kweli ana nia thabiti...acheni hizi mambo za ajabu oohh urais umekuwa rais my as.!

Upumbavu ni kukakamaa huku ukiamini kuwa kila mmoja ndani ya ccm anaweza kuwa Rais wa Tz.
 
Tanzania hata bila rais inakwenda tu, labda akagombee urais wa kijiji chao.
 
Akihojiwa na Radio Pride ya Mtwara leo saa 11 jioni, Tambwe Hizza amesema ana uwezo, nguvu, afya, elimu na akili za kuwa Rais wa tano wa Tanzania.

Amesema wakati ukifika atachukua fomu.
Alipoulizwa atagombea kama mgombea binafsi kama katiba itaruhusu amejibu kwa kifupi, CCM ndo baba lao.

Mytake: URAIS UMEKUWA RAHISI

Ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yaani kuwa mfungaji bora msimu mmoja tu ndio amepata umaarufu wa kugombea urais!?

attachment.php
 
Akihojiwa na Radio Pride ya Mtwara leo saa 11 jioni, Tambwe Hizza amesema ana uwezo, nguvu, afya, elimu na akili za kuwa Rais wa tano wa Tanzania.

Amesema wakati ukifika atachukua fomu.
Alipoulizwa atagombea kama mgombea binafsi kama katiba itaruhusu amejibu kwa kifupi, CCM ndo baba lao.

Mytake: URAIS UMEKUWA RAHISI
Huyu jamaa ni jana tu kuna mahali nilimskia mtu akimuulizia,na anasikika wakat muafaka,maana mwakani ndio mwaka wa fwedha
 
Saizi urais umekuwa rahisi sana kwa 7bu Jk ameiendesha taasisi hii kishikajishikaji tu
 
Back
Top Bottom