Akihojiwa na Radio Pride ya Mtwara leo saa 11 jioni, Tambwe Hizza amesema ana uwezo, nguvu, afya, elimu na akili za kuwa Rais wa tano wa Tanzania.
Amesema wakati ukifika atachukua fomu.
Alipoulizwa atagombea kama mgombea binafsi kama katiba itaruhusu amejibu kwa kifupi, CCM ndo baba lao.
Mytake: URAIS UMEKUWA RAHISI
Amesema wakati ukifika atachukua fomu.
Alipoulizwa atagombea kama mgombea binafsi kama katiba itaruhusu amejibu kwa kifupi, CCM ndo baba lao.
Mytake: URAIS UMEKUWA RAHISI