thanksbeautiful thread
ukisoma vzur hayo yanategemeana...kuvunja urafk kupo lkn ukiwa na facts zte za kufanya hvo...co unackia tu maneno hujaprove umeongea shit umevunja uraf mwsho wa cku unajua ni maneno ya uongo.True,ila kila kitu kina kiasi.Hata Yesu mwenyewe hakukaa kimya kiasi hiko.
Ukae kimya ili usivunje urafiki? Sasa mbona maisha ya kinafiki hayo.
Utaishia kuonekana boya.
Actually,anayefanya hayo yote ni boya.
Kuna ukweli mmoja tu kuhusu ulicho kiandika..A person who can do all that u have said does not existHabarini wanaJamii.
kuna msemo wa unesema "silence is the best answer too" tafasiri "ukimya ni jibu sahihi pia" basi twendeni moja kwa moja kwenye hoja ili uweze kutambua muda wa kukaa kimya kwajili ya kujilindia heshima yako ,kulinda heshima za watu wengine na kuepusha mikwazano .
1. kaa kimya ukiona umepandwa na hasira.
2. kaa kimya kama hauna vielelezo(facts) vilivokamilika kuhusu unachotaka uzungumze.
3. kaa kimya kama hujathibitisha stori au kitu unachotaka uzungumze.
4. kaa kimya kama maneno yako yatamvunja moyo mtu aliedhaifu.
5. kaa kimya kama ni muda wa kusikiliza unachoambiwa au kinachoongelewa.
6. kaa kimya kama utaona maneno yako yatadharau vitu vitakatifu kama imani au dini ya mtu.
7. kaa kimya kama utashawishika kuleta utani uliojaa dhambi au usio na maadili mema.
8.kaa kimya kama maneno yako yatakufanya udharaulike baadae au mbeleni.
9.kaa kimya kama maneno yako yataleta maana tofauti kwa mtu au watu unaoongea nao.
10. kaa kimya kama habari au jambo halikuhusu.
11. kaa kimya kama maneno yako yatakua na uongo ndani yake au unashawishika kusema uongo.
12. kaa kimya kama maneno yako yatashusha heshima ya mtu mwingine.
13. kaa kimya kama maneno yako yatapelekea kuvunjika kwa urafiki au undugu.
14. kaa kimya kama upo kwnye hali mbaya hasa kimawazo au kama hujui unachotaka kukisema.
15. kaa kimya kama huwezi ongea kitu bila kupayuka kwa sauti kubwa au kwa ustaarabu.
16. kaa kimya kama maneno yako hayataleta picha nzuri kwa Mungu wako,marafiki zako na familia yako.
17.kaa kimya kama baadae utaona ni sahihi usingeongea ulichokiongea.
18. kaa kimya kama umeshasema kuhusu hicho kitu zaidi ya mara moja.
19. kaa kimya kama unaona maneno yako yatamtibua mtu mkorofi asie na adabu na mpumbavu.
20. kaa kimya kama ukiwa unafanyia kazi unachotaka kukisema.
"yoyote atakae chunga ulimi na mdomo wake atajiepusha na balaa" -zaburi 21:23.
Kaa kimya kama una kibamia
vbamia vnahrb watu kisaikolojia utajikuta upo kmya ghfl tu...unabshana na mkeo anaropoka niondelee kibamia hapa...mkuu hyo ni mpk unakufa hutakua hujiamintalaka zinaruhusiwa ikiwa mwanamke ni mzinzi cjui mwasheratiWanawake wa kigalatia wakishaolewa midomo yao ni kuongea chochote-popote. Kisa hamna talaka huko jkkkt.
Com one man ..U know this is not possible!Habarini wanaJamii.
kuna msemo wa unesema "silence is the best answer too" tafasiri "ukimya ni jibu sahihi pia" basi twendeni moja kwa moja kwenye hoja ili uweze kutambua muda wa kukaa kimya kwajili ya kujilindia heshima yako ,kulinda heshima za watu wengine na kuepusha mikwazano .
1. kaa kimya ukiona umepandwa na hasira.
2. kaa kimya kama hauna vielelezo(facts) vilivokamilika kuhusu unachotaka uzungumze.
3. kaa kimya kama hujathibitisha stori au kitu unachotaka uzungumze.
4. kaa kimya kama maneno yako yatamvunja moyo mtu aliedhaifu.
5. kaa kimya kama ni muda wa kusikiliza unachoambiwa au kinachoongelewa.
6. kaa kimya kama utaona maneno yako yatadharau vitu vitakatifu kama imani au dini ya mtu.
7. kaa kimya kama utashawishika kuleta utani uliojaa dhambi au usio na maadili mema.
8.kaa kimya kama maneno yako yatakufanya udharaulike baadae au mbeleni.
9.kaa kimya kama maneno yako yataleta maana tofauti kwa mtu au watu unaoongea nao.
10. kaa kimya kama habari au jambo halikuhusu.
11. kaa kimya kama maneno yako yatakua na uongo ndani yake au unashawishika kusema uongo.
12. kaa kimya kama maneno yako yatashusha heshima ya mtu mwingine.
13. kaa kimya kama maneno yako yatapelekea kuvunjika kwa urafiki au undugu.
14. kaa kimya kama upo kwnye hali mbaya hasa kimawazo au kama hujui unachotaka kukisema.
15. kaa kimya kama huwezi ongea kitu bila kupayuka kwa sauti kubwa au kwa ustaarabu.
16. kaa kimya kama maneno yako hayataleta picha nzuri kwa Mungu wako,marafiki zako na familia yako.
17.kaa kimya kama baadae utaona ni sahihi usingeongea ulichokiongea.
18. kaa kimya kama umeshasema kuhusu hicho kitu zaidi ya mara moja.
19. kaa kimya kama unaona maneno yako yatamtibua mtu mkorofi asie na adabu na mpumbavu.
20. kaa kimya kama ukiwa unafanyia kazi unachotaka kukisema.
"yoyote atakae chunga ulimi na mdomo wake atajiepusha na balaa" -zaburi 21:23.
mkuu sio lazima ufanye vyote unaangalia tu ni muda gan na mazingira yapi yatakufanya uapply hvo vtuKuna ukweli mmoja tu kuhusu ulicho kiandika..A person who can do all that u have said does not exist
Nagging wife/toxic wife ni kumpotezea kama hujaoa viletalaka zinaruhusiwa ikiwa mwanamke ni mzinzi cjui mwasherati
its possible mkuu hujawah kuongea ukiwa na hasira af bdae ukajutia ulichokiongea?Com one man ..U know this is not possible!
pia watu, wakumbuke kukaa kimya kwa mada kama hizi. ikiwa hawana uwezo, ama hawatochangia vema kuboresha mada tajwa hapo juu. akina Numbisa na wengine, kuanza kuleta mambo ya likes, watu tunashindwa kusoma comments za maana zinazoletwa katika uzi. ni hayo tu
kweli nimejifunza kukaa kimya kuna faida nyingi.
Hujanielewa bro I mean it is not possible to do all that which u have said..Nakubaliana na kilicho andikwa BT what I say it is not possible for a human being to do all that stuffs.It will take Jesus Christ of Nazareth or Prophet Muhammad Peace Be Upon Him to be able to do all thatits possible mkuu hujawah kuongea ukiwa na hasira af bdae ukajutia ulichokiongea?
tukigeneralize zote hzo linakuja neno moja "fikiri kabla ya kutenda."Hujanielewa bro I mean it is not possible to do all that which u have said..Nakubaliana na kilicho andikwa BT what I say it is not possible for a human being to do all that stuffs.It will take Jesus Christ of Nazareth or Prophet Muhammad Peace Be Upon Him to be able to do all that
Hapo nimekusomatukigeneralize zote hzo linakuja neno moja "fikiri kabla ya kutenda."