Tambua muda wa kukaa kimya

Tambua muda wa kukaa kimya

Kukaa kimya napo ni kipaji, japo mara nyingi inasaidia sana hasa kama haitachanganywa na kisirani au dharau.
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Mithali 17:28
Kwa mfano we ndo mwalimu, mwanafunzi anakosea halafu unamuliza anakaa kimya.... Utaona sawa.... Au utamwona ana dharau na kiburi?
 
Kwa akina sisi kuongea ndo tiba.... Eti unikere nikae kimya mpaka hasira ziishe Hapana..... Nitaongea mpaka .

No 20 ,18 Sawa 15 nitapasuka.... 14 sijui 13 bora uvunjike kuliko kuletewa ujinga... 12 ndo -sawa napenda ili ajifunze siku nyingine ...11,10,9 Sawa..... 8 inategemea...
Mh
 
Napoamua kukaa kimya huwa inakuwa milele mpk siku nayoingia kaburini hutosikia nikikwambia kitu
 
Wakati mwingine kimya kingi kinapelekea msongo wa mawazo- hata kifo.binadamu akivumilia sana machungu bila reaction yoyote anaweza dhurika vibaya.
 
Back
Top Bottom