Tambua kiu ya mpenzi wako

Tambua kiu ya mpenzi wako

Unaweza kumpa kila kitu, ukahakikisha ana gari kali, analala sehemu babkubwa, ana hela za kutumia, ana safiri anakotaka, na watoto wazuri umempa lakini kama kiu yake ya hisia haijakamuliwa ikakauka na kikombe chake cha penzi hakijazwi kikajaa ndugu yangu fahamu bado haujamaliza kazi.

Ukiona umempa hivyo vingine pasipo kumpa penzi na akaridhika na kukuchekelea kama vile anafuraha fahamu huyo amekuja kwako na mwili tu hajaja na moyo. Ndugu yangu raha ya tonge lilowe mchuzi [HASHTAG]#ChrisMauki[/HASHTAG]

Sio maneno yangu ni ya Dk Chris mauki nimeyacopy huko....




mwingine zamani alishazoe 0713 sasa hapo mm sijwhi na sina mpango,,na yy hawezi kusema sasa kwann asirudi kwa ma ex
 
Pesa inaweza kukufanya umridhishe mwanamke kwa 40% na 60% ni ya wewe kuwa creative and protective to her.
Uwe na kipato cha kuridhisha au usiwe nacho wajibu wako ni kumfanya mwanamke ajisikie furaha na amani kwa uwepo wako akilini mwake. Ukilifanikisha hili hakuna cha ziada zaidi ya both of you kuufurahia uhusiano wenu to the fullest
 
Ukimwacha mpenzi na kiu utagongewa hata na vichaaaa
Hakikisha mwanamke wako anasema "inatosha mpenzi, hakika wajua kunifikisha ninapopataka, wajua kunipa kile ninachokihitaji kwa muda muafaka".
Onesha bado una hamu hata kama umechoka. Ng'ombe dume hachoki kumpanda jike mpaka kiza kiingie. This's a wuman-killing moment in bed
 
Kabisa ukiufwatisha moyo vibaya utakupeleka puta utabaki kuwa captive of your own destiny ain't satisfy it playing tricks of you!
I will always satisfy my wuman to the fullest, whenever she wants me I will try to be there. All is just to make her happy n appreciate being with me. When it comes she dumps me by any reason, ipo siku atanikumbuka na kujiona yeye ndie mkosefu hata kama atakuwa tayari ndani ya ndoa.
 
I will always satisfy my wuman to the fullest, whenever she wants me I will try to be there. All is just to make her happy n appreciate being with me. When it comes she dumps me by any reason, ipo siku atanikumbuka na kujiona yeye ndie mkosefu hata kama atakuwa tayari ndani ya ndoa.
And u'r woman she's lucky to have you...
 
Unaweza kumpa kila kitu, ukahakikisha ana gari kali, analala sehemu babkubwa, ana hela za kutumia, ana safiri anakotaka, na watoto wazuri umempa lakini kama kiu yake ya hisia haijakamuliwa ikakauka na kikombe chake cha penzi hakijazwi kikajaa ndugu yangu fahamu bado haujamaliza kazi.

Ukiona umempa hivyo vingine pasipo kumpa penzi na akaridhika na kukuchekelea kama vile anafuraha fahamu huyo amekuja kwako na mwili tu hajaja na moyo. Ndugu yangu raha ya tonge lilowe mchuzi [HASHTAG]#ChrisMauki[/HASHTAG]

Sio maneno yangu ni ya Dk Chris mauki nimeyacopy huko....
Mwanamke haridhiki,ukimpa penzi kali afu huna hela ataenda kumtafuta mwenye hela
dunia hii ni ubatili mtupu
 
and what does she give in return?hiyo mauki ni sanaa yakuwavuta type yake hamna kitu ngumu kum satisfy woman or binadamu yoyote in general
 
'Kiu yangu ni kupewa tunda, kupewa dawa, kila nikijisikia nipewe utamu...' naomba mpenzi wangu apite hapa ili asilani asijaribu kuninyima, hiyo ndio kiu yangu
Duuuuuh!!
 
unaweza kujitahidi kuimaliza kiu yake lakin bado akachepuka

binadamu haturidhiki sio wanaume au wanawake
 
Ni kweli nimekutana na wadada kibao wa rika langu ambao ni rafiki zangu wao wanasema hivihivi kuwa raha ya mwanamke ni kufika kilelelni(kukojoa) mengine mbwembwe tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom