hahahhahahahhahaaaaa mbavu siiiiina, no amina chifupa wa juzi sana , sasa mwanangu mtapiganaje huku mnajikuna hahhahaha
unamuongelea mwalimu gani MKANDAWILE mzee wa MASUTI AU? huyo anasuti yake ya rangi ya kijani na damu ya mzeee hata kukiwa na jua kali vipi yumo tuuuu , alikwa kitukooo darasani na mineno yake
Kwani pointi saba iko level gani?
Unataka kuniambia SRSS na Mzizima kulikuwa hakuna pointi saba? Na kwa taarifa yako hizo shule zina a level pia..
Forget point saba....watu wamekuwa kwenye Dean's list miaka yote minne na kuhitimu na ma magna cum laude na summa cum laude....
yeah nina watoto wa kaka yangu wanasoma pale, so nyie hamkukuta WUTAMBA maana alivyokuja kaaya nasikia akaipiga marufuku maana ilikuwa ni naught by natureYeah mie nilikuwepo Tambs baada ya akina amina chifupa, Hostel zilikuwa za wasichana tupu wanaochukua science. Hadi sasa nadhani hostel ni wasichana tupu.
yeah wala sikukataliii najua point 7 zenu ndio failure za university, mnajaza madarasa tu mwaka wa kwanza mna disco, maana mitihani mlikuwa mnapewa kabla kisa headmaster/mistress ananunua mitihani kupitia hela za baba zenu. therefore its true mlikuwa mna hata one za point one kamazingekuwepo , lakini 'F' za elimu ya juuuu. pole mkuu ni ukweli tuuu simaanishi nakuattack.Unacheza wewe...watu tulifumua pointi saba...na darasa la saba tulifaulu vile vile lakini tukaamua kupelekwa shule private. Hata nyinyi mngekuwa na uwezo msinge turn down fursa ya kwenda kusoma SRSS au Mzizima...
wow ameprosper jamaniii , nakumbuka hiyo ndio ndoto yake hata darasani (tution) alikuwa anasema , am glad he made some stepshahahah, umeniacha hoi na mambo ya Mkandawile, alikuwa mkali kwenye organic chemistry si mchezo. Na sasa ana high skul yake mitaa ya pugu.
ahahahhahahahaaa yule mwalimu alikuwa na vituko jamani alinipaga jina mie na kaka mmoja tulikuwa tunawahiana viti kila siku, si unakumbuka kuingia darani kwa purukushani? basi akituona tunaongea tu ananza kutuoa story zake za alfa ulela ulela, akatutunga na majina lol, but was funYeeeees! Mkandawile, hahahahhaaaaaa! That old dude teacher was clowning! Mtaalam wa practical physics, kila siku topic ile ile tu, Pendulum, Pendulum, Pendulum, formula liko moja tu lakini linafinyangwa finyangwa mara mia nne, halafu tukariri!
yeah wala sikukataliii najua point 7 zenu ndio failure za university, mnajaza madarasa tu mwaka wa kwanza mna disco, maana mitihani mlikuwa mnapewa kabla kisa headmaster/mistress ananunua mitihani kupitia hela za baba zenu. therefore its true mlikuwa mna hata one za point one kamazingekuwepo , lakini 'F' za elimu ya juuuu. pole mkuu ni ukweli tuuu simaanishi nakuattack.
Thread imeingiliwa inaanza poteza uelekeo.
hahhahahaha mwalimu chale nilikutana nae nilivyoendaga kuchukua vyeti vya ndugu yangu, alikuwa ame base kwenye lab ya biology, alikuwa kituko mdomo mziiito , unakumbuka mikwara yake?
hahhahahaha mwalimu chale nilikutana nae nilivyoendaga kuchukua vyeti vya ndugu yangu, alikuwa ame base kwenye lab ya biology, alikuwa kituko mdomo mziiito , unakumbuka mikwara yake?
watu wa kwenye circles zangu wote walifumua o-level na kutimua. hakuna hata mmoja aliyehangaika na lichuo lenu limoja enzi hizo. tumefika majuu dean's list mtindo mmoja hadi graduation day na kuvikwa majoho yenye rangi tofauti kuonyesha nani ni magna cum laude na nani ni summa cum laude...meaning straight As from start to finish...acha mchezo dogo...
Hii shuke ipo wapi?
Nitaenda siku mojaDar Upanga UN rd!
bibie ilikuweje ukasoma combination ngumu namna hio? PCB CBG unaonekana shori wa HKL HGK KLF hivi........
ila tambaza walikuwa machizi tu.....kujifanya magangwe gangwe usela wao ulizidi...kuna kijamaa kimoja eti alikuwa anajiita killer one......ukimuuliza kaua wangapi hata mbu hajaua.....