Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
May his soul rest in eternal peace, ameen.
may his soul rest in eternal peace, ameen.
Umati ni mkubwa uliohudhuria shughuli za kumpa heshima za mwisho mwanamuziki maarufu hapa nchini Hayati Ramadhani Mtoro maarufu kama Dakta Remmy.
Ni majonzi, vilio na simanzi vilitawala mahali hapa lakini pia faraja toka kwa watu mbalimbali zimekuwa zikiwafikia watu woote walioonekana kuwa na maumivu moyoni...
''kazi yake mola haina makosa''
''bwana ametoa na bwana ametoa so msilie''
''cha msingi ni kumuombea ili akapate kupumzika kwa amani''
Hayo ni baadhi ya maneno yaliyosikika kuwafariji wafiwa.
Hakika ni hudhuni kila kona ya mahali hapa...
Baadhi ya umati wa waombolezaji waliojitokeza katika ibada ya kuaga mwili wa marehemu Dk.Remmy Ongala katika viwanjavya Biafra leo mchana jijini Dar es Salaam.
Mke wa Marehemu Dk. Remmy akiuaga mwili wa mmewa huku akisaidiwa na watoto wake Kally Ongala na mwenzake.
Watoto na wajukuu wa DK Remmy wakiuaga mwili wa ndugu yao leo/
Mtoto wa kwanza wa marehemu DK.Remmy Ongala Kally Mangonga ambaye ni mchezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es Salaam akiwa na dada yake Jesca wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa baba yao katika viwanja vya Biafra .
Baadhi ya umati wa waombolezaji waliojitokeza katika ibada ya kuaga mwili wa marehemu Dk.Remmy Ongala katika viwanjavya Biafra leo mchana jijini Dar es Salaam.
Mke wa Marehemu Dk. Remmy akiuaga mwili wa mmewa huku akisaidiwa na watoto wake Kally Ongala na mwenzake.
Watoto na wajukuu wa DK Remmy wakiuaga mwili wa ndugu yao leo/
Mtoto wa kwanza wa marehemu DK.Remmy Ongala Kally Mangonga ambaye ni mchezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es Salaam akiwa na dada yake Jesca wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa baba yao katika viwanja vya Biafra .
its all over now.
Dakta ulitoka kwa udongo umerudi kwa udongo.
Pumzika kwa amani Baba
R.I.P dr remmy. Wana JF nisaidieni, marehem alikuwa anasumbuliwa na nn?