Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,667
- 20,360
Inasikitisha kuwa vijana hawajifunzi kila siku kupelekea kurudia makosa hayo hayo.
Imekuwa mtindo sasa vijana kuwekwa rehani kwa suppliers wa madawa ya kulevya Pakistan na Iran na 'matajiri' kuchukua mzigo kwa mali kauli.
Mwisho wa siku waliowekwa rehani wanatalekezwa, waliochukua mali maisha yao yanaendelea kwa raha uraiani.
Kuna haja serikali ikawa strict zaidi hasa kwa hao wanaoweka wenzao rehani na kuwatelekeza. Wakigundulikana wachukuliwe kama wauaji tu.
Imekuwa mtindo sasa vijana kuwekwa rehani kwa suppliers wa madawa ya kulevya Pakistan na Iran na 'matajiri' kuchukua mzigo kwa mali kauli.
Mwisho wa siku waliowekwa rehani wanatalekezwa, waliochukua mali maisha yao yanaendelea kwa raha uraiani.
Kuna haja serikali ikawa strict zaidi hasa kwa hao wanaoweka wenzao rehani na kuwatelekeza. Wakigundulikana wachukuliwe kama wauaji tu.