Wana JF,
Jana Mkulu alipokuwa anaongea na sisi aliibua tahadhari kwa wananchi wa Igunga kutotumiwa na Wanasiasa kufanikisha maslahi binafsi na tamaa ya madaraka iliyovuka mipaka. Nimekuwa najiuliza, hao ni wanasiasa gani? Je, alikuwa akiwasema Magamba au Magwanda? Na kwamba, mipaka ya tamaa ya madaraka ni ipi ili yeye apime tamaa iliyovuka mipaka? Je, mipaka ni zile juhudu za chama kung'ang'ania madaraka hata kwa gilba, wizi na kuchakachua?
Jana Mkulu alipokuwa anaongea na sisi aliibua tahadhari kwa wananchi wa Igunga kutotumiwa na Wanasiasa kufanikisha maslahi binafsi na tamaa ya madaraka iliyovuka mipaka. Nimekuwa najiuliza, hao ni wanasiasa gani? Je, alikuwa akiwasema Magamba au Magwanda? Na kwamba, mipaka ya tamaa ya madaraka ni ipi ili yeye apime tamaa iliyovuka mipaka? Je, mipaka ni zile juhudu za chama kung'ang'ania madaraka hata kwa gilba, wizi na kuchakachua?