HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Wapendwa,
Nimeiona mada hii ikiendelea kwenye mtandao wa Fikrapevu nikaona si vibaya na sisi pia tukaileta hapa na kuidadavua kwa maslahi ya wana MMU wote.
Je utoaje wa talaka (kwa wanaume)/kuomba talaka (kwa wanawake) kwa wenye ndoa wenye migogoro ni suluhu ya migogoro hiyo?
Maoni yako, pliz.
Nimeiona mada hii ikiendelea kwenye mtandao wa Fikrapevu nikaona si vibaya na sisi pia tukaileta hapa na kuidadavua kwa maslahi ya wana MMU wote.
Je utoaje wa talaka (kwa wanaume)/kuomba talaka (kwa wanawake) kwa wenye ndoa wenye migogoro ni suluhu ya migogoro hiyo?
Maoni yako, pliz.