Talaka Haijakatazwa

Hoja ya kupinga talaka kwa madheheb ya ukristo dhumun lake ni nn??

Inaana hao mapadri hilo torati hawalifaham??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana kuna ulalamishi kuna walio ongeza maandishi kwenye vitabu vya mwanzo kwa manufaa yao ya kupinga imani.

Yani imekua ngumu kumwambia mtu hakuna Mungu sasa basi wenue akili wakaona tuwageuze humu humu kwenye imanizao waende ndivyo sivyo ndicho kinacho endelea

KUNA MADHEBU MPAKA KESHO KUNAVITU VINAENDELEA KUFANYIWA MAREKEBISHO hii nikutokana na mikono ya wasio wema kuharibu maandishi ya kweli.yale ya muumba huoni tatizo ila haya ya kibinadam ni fikirishi ndomana muda ukifika watu wana sema hili hapana nakubadili vifungu
 
ntapambana nae sitoi talaka


Huwezi pambana na mtu mkuu. hata Mungu alimfukuza Adam na Hawa bustanini japokuwa hakuwaahidi kuwa wakila tunda angewafukuza. Hata shetani alifukuzwa mbinguni. Biblia inasema usishindane na mtu muovu. Busara ni kufukuza tuu.

Take from your God
 


Kweli kabisa
 
Kitu kilichonifurahisha ni jinsi ulivyo jijengea hoja yako ya namna ya kumfukuza mwanamke uliyempiga sound kuwa unampenda kumbe unamtamani tu.
Nadhani kama mambo yenyewe yamekuwa hivi, basi tusioe kabisa bali tuwalale huko huko kwao au gesti tujirudie nyumbani wepesi.
Mke sio papuchi tu ila mke ni msaidizi. Tena mmoja tu. Hujiulizi, Adam alikuwa na mbavu ngapi ila Mungu akautoa mmoja tu na kuufanya mwanamke?? Hujiulizi, kwa nini Mungu hakumwongezea Adam mke mwingine??
Usioe, kama unataka kumlala halafu umwache. Huyo sio wako ni wa mtu hivyo wazini. Na wazinzi mwisho wenu ni lile shimo la moto milele. Mbona mnamwona huyo mwanamke ka takataka flan hivi mnayoweza kuitupa nje tu ikawe mbolea na wanaume sisi ndio bora zaidi?? Kwani huyo mwanamke hawezi kututimizia wanaume 2, 4, 6 kwa siku nasi tukatosheka? Tumpe basi na yeye ruksa kuolewa siku akitaka na kutoa talaka siku akitaka.
Mungu hajawahi kukosea na hatakaa akosee. Aliujua ugumu wa moyo wako ndo maana akakuacha ufanye utakalo ila alishakuambia; Mume mmoja kwa Mke mmoja tu. Zaidi ni uzinzi na uasherati na mwisho ni ukimwi
 
Inatolewa kwa sharti hiyo talaka....sio umeamka asubuhi chai haijawekwa iriki unatoa talaka...makazi yako motoni tu.......talaka itolewe pale inapobidi na unaona kabisa hakuna namna lazima itoke na si vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo inatolewa pale inapotokea sababu za msingi kama unavigezo vinavyojitosheleza ruksa kupewa au kutoa talaka huwezi kulazimishwa eti muishi mpaka kifo kiwatenganishe na ndio maana hata cku ya ndoa mnaambiwa kabisa mmeoana kwa heri na ikibidi kuachana kwa heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Naona talaka uiongeleayo ipo upande mmoja wa wanaume! Kwa maelezo yako na mwanamke anaruhusiwa talaka iwapo mumewe yupo kinyume nae!
 
Talaka ni muhimu ikiwa ndoa imekuwa chungu. Mwanamke kama hamuheshimu mume wake, endapo mumewe ataamua kutoa talaka asilaumu kwani anahaki na ni wajibu wake kufanya hivyo.
Umeongea vitu vya msingi,ila nachokiona kwa sasa ndoa nyingi ni chungu na zenye kuleta mateso kutokona na viburi vya wanadamu,kujiona bora,kuridhika na kutomchukulia mwenza wake kuwa mtu wa maana kwake,kipato ,elimu na kutokufata viapo vya ndoa.Cha msingi hapa ni sisi wanandoa kuishi kwa unyenyekevu na kufata amri za mungu,apo ndoa zetu zitakuwa zenye amani na utulivu.MUNGU AWABARIKI.
 
Na ndiyo inavyoaminishwa mpaka sasa kwamba ndoa ikishafungwa haiwezi tenguliwa labda mpaka mmoja afe kwa upande huu...

Kwa upande ule mwingine... talaka ruksa...


Cc: mahondaw
 
Mathayo 19: 3-9
3. Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
4. Akajibu, akawaambia, hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo , aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5.akasema, kwasababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6. Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
7. Wakamwambia, jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
8.Akawaambia, Musa kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9. Nami nawaambia ninyi, kila mtu atakaye mwacha mkewe, isipokuwa ni kwasababu ya uasherati, akaoa mwingine , azini naye naye amwoaye yule aliyeachwa azini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa talaka imeruhusiwa ila kwa kosa la uzinzi. The problem is, je ni uzinzi wa wote au wa mke tu?
 
Tunatetea talaka kwakuwa tumejiandaa kutenda maovu.
 

Soma vizuri hilo andiko na ulielewe. 8. Musa kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa. Hili lilitokana na watu kutaka wapewe ruhusa kuwaacha wake zao kwa sababu tu ya tamaa zao.
Tangu mwanzo Mungu hakutaka tuwakiane tamaa. Alitaka tutimiziane haja zetu kistaarabu. Mtu unamkandia mkeo, mke wako mwenyewe unamkandia bao 6!! Za nini?? Kwani yu aenda safari??
Akilalamika kuwa punguza kiu hadi kesho, tiyari; Unaninyima. Huwa nawahurumia saana wanaume wenzangu wanao wakandia mabao 6 na zaidi wake zao. Kisa asichepuke. Kule nje cha mchepuko kimoja tena haraka haraka nako anaona raha zaidi kuliko huo mchezo wako wa kumuumiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…