OscarkambonaJr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 2,076
- 3,486
Habari wana Bodi.
Nimekua nikiwaza marakadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.
Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?
Post zilizotumwa huku ni sahihi?
Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.
Hebu tusaidieni kuangalia hili
Asante nawasilisha.
Ndio nawaza hapoUnakuta post Ina views 4m Hao wengine wakina nani
WageniUnakuta post Ina views 4m Hao wengine wakina nani
Sijawahi kuona post yenye views 4m. Japo kuna watu huwa wanaingia kama wageni ambao si member...wanapita na kusoma. Hawaandiki chochote.Unakuta post Ina views 4m Hao wengine wakina nani
Mi nadhani uki -view halafu,siku nyingine ukairudia tena ikipanda juu inacount tena......sina uhakika,nimewaza tuUnakuta post Ina views 4m Hao wengine wakina nani
Wageni waalikwa wasioweza kuchangia chochoteUnakuta post Ina views 4m Hao wengine wakina nani
Uko sahihi mkuu! Ukisoma post leo, kesho ukaisoma tena, basi inazidi kuhesabuMi nadhani uki -view halafu,siku nyingine ukairudia tena ikipanda juu inacount tena......sina uhakika,nimewaza tu
Kwa haraka hii hapa ina viewers millioni mbiliSijawahi kuona post yenye views 4m. Japo kuna watu huwa wanaingia kama wageni ambao si member...wanapita na kusoma. Hawaandiki chochote.
Uzi wa kubeti una views milioni 30+Sijawahi kuona post yenye views 4m. Japo kuna watu huwa wanaingia kama wageni ambao si member...wanapita na kusoma. Hawaandiki chochote.