TAKUKURU yawaita Shabiby na Kangi Lugola

TAKUKURU yawaita Shabiby na Kangi Lugola

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Gazeti la Mwananchi la Januari 31, 2026 hii ndiyo haba kuu ambapo wamedai, Bosi wa Takukuru afunguka sakata likichukua sura mpya, orodha yasubiriwa. Wasomi wataka hoja zisiishie bungeni, hatua zifuate.
IMG_0839.webp

Huku Chief Odemba akiandika alichokisema, Crispin Chalamila, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

"Kwa wajibu tu wa kiraia na kizalendo Shabiby atakuja (TAKUKURU), ataleta rasmi hizo taarifa pengine kuliko namna alivyofanya. Kwa hiyo tutamtafuta atupe hizo taarifa kama taasisi na kama hatotufuata, sisi tutamtafuta atupe taarifa alizonazo tuzifanyie kazi kwa hatua zaldi."
 
Gazeti la Mwananchi la Januari 31, 2026 hii ndiyo haba kuu ambapo wamedai, Bosi wa Takukuru afunguka sakata likichukua sura mpya, orodha yasubiriwa. Wasomi wataka hoja zisiishie bungeni, hatua zifuate.
View attachment 3536750
Huku Chief Odemba akiandika alichokisema, Crispin Chalamila, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

"Kwa wajibu tu wa kiraia na kizalendo Shabiby atakuja (TAKUKURU), ataleta rasmi hizo taarifa pengine kuliko namna alivyofanya. Kwa hiyo tutamtafuta atupe hizo taarifa kama taasisi na kama hatotufuata, sisi tutamtafuta atupe taarifa alizonazo tuzifanyie kazi kwa hatua zaldi."
Wabunge wana kinga
 
Nilitaka kuandika kitu lakini basi kwakua wote ni chama kimoja sawa tu hakuna baya
 
Samia anatumia TAKUKURU ili akiwatajia majina ajue kama yumo kwenye mafisadi papa.
 
Gazeti la Mwananchi la Januari 31, 2026 hii ndiyo haba kuu ambapo wamedai, Bosi wa Takukuru afunguka sakata likichukua sura mpya, orodha yasubiriwa. Wasomi wataka hoja zisiishie bungeni, hatua zifuate.
View attachment 3536750
Huku Chief Odemba akiandika alichokisema, Crispin Chalamila, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

"Kwa wajibu tu wa kiraia na kizalendo Shabiby atakuja (TAKUKURU), ataleta rasmi hizo taarifa pengine kuliko namna alivyofanya. Kwa hiyo tutamtafuta atupe hizo taarifa kama taasisi na kama hatotufuata, sisi tutamtafuta atupe taarifa alizonazo tuzifanyie kazi kwa hatua zaldi."
Mafisadi ya CCM yameanza kujihami kupitia TAKUKURUCCM ilo kujisafisha kwa wizi wa rasilimali za taifa. CCM ni kama nzi anayekula mavi huku akijisafisha mdomo kwa kutumia mikono yake. Yaani anahamisha uchafu kutoka sehemu moja ya mwili hadi nyingine. MaCCM ni majitu ya ovyo sana.
 
Gazeti la Mwananchi la Januari 31, 2026 hii ndiyo haba kuu ambapo wamedai, Bosi wa Takukuru afunguka sakata likichukua sura mpya, orodha yasubiriwa. Wasomi wataka hoja zisiishie bungeni, hatua zifuate.
View attachment 3536750
Huku Chief Odemba akiandika alichokisema, Crispin Chalamila, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

"Kwa wajibu tu wa kiraia na kizalendo Shabiby atakuja (TAKUKURU), ataleta rasmi hizo taarifa pengine kuliko namna alivyofanya. Kwa hiyo tutamtafuta atupe hizo taarifa kama taasisi na kama hatotufuata, sisi tutamtafuta atupe taarifa alizonazo tuzifanyie kazi kwa hatua zaldi."
Kwa hiyo TAKUKURU inasubiri hotuba za wabunge kupata tàarifa za ufisadi?
 
Back
Top Bottom