Waziri Sitta amekamatwa kwa tuhuma ya kutaka kutoa rushwa na TAKUKURU mkoani Tabora. Sitta amekamatwa na fedha zaidi ya millioni moja na bahasha za kaki 140 na simu za mkononi aina ya Nokia. Sitta ameachiwa kwa zamana. Habari zaidi nikizipata
.TBC imetangaza kwenye taarifa yao ya habari kuwa mke wa Spika Mama Magreth Sitta amekamatwa akitoa rushwa huko Tabora. Inavyoelekea TBC wameshabikia habari hiyo na kuzungumza moja kwa moja na Kaimu mkuu wa TAKA-KURU wa mkoa huo wakimdhihaki na kumhukumu kuwa ametoa rushwa.
Mbona hawa Takukuru hawaendi igunga ambapo yule muiran anachagiliwa tu kwa mlungula????
sijui nchi inaendaje
Mama Sita kama kakamatwa na rushwa anapaswa kuwajibika kama raia mwingine yeyote anayekamatwa na rushwa. Sijasikia wala kuona hiyo taarifa, ila naipokea kama taarifa zingine tunavyozisikia, tukianza kuweka hayo ni kama tunataka kusema wengine wako juu ya sheria. TAKUKURU wanapaswa kuwatreat watuhumiwa wote kwa uzito ule ule, si kwa sababu ni mke wa Sita au waziri.
22. The following persons shall be deemed to commit
unconscionable funding within the meaning of this Act:
(a) every person who corruptly, by himself or by
any other person, on his behalf, either before,
during or after the nomination process or
election directly or indirectly gives, or provides,
or pays, wholly or in part, the expense of giving
or providing food, drink, entertainment or
provisions to or for any person, for the purpose
of influencing that person, or any other person,
to vote or to refrain from voting at such
nomination process or election; and
(b) every person who corruptly accepts or takes any
such food, drink, entertainment or provision.
hizo ni sarakasi tu za takukuru kusimamia kichwa kama hata wewe hujagundua basi tenaso habari ndiyo hiyo