Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
It not right at all kumkamata Dr Mwakyembe;kisheria TAKUKURU walifanya kosa kubwa la kiufundi la kuwapigia simu wanaotaka kuhojiwa badala ya kuwatumia barua rasmi zenye kuhahakiwa kama wamezipata ili ziingizwe kwenye rekodi za ofisi yao!
!
Huyo mwakyembe mwenye alimwandikia Barua Lowassa ya kumhita kumhoji?
Usipotoshe. Uchunguzi ni wa muda mrefu. Umekuwa public hivi karibuni tu. TAKUKURU kimsingi chombo cha dola chini ya Ofisi ya Rais (Head of State). Head of State yupo juu ya mihimili yote mitatu. Rais kama Head of the Executive ndio mhimili mmoja. Lakini kama Mkuu wa Nchi ni mlinzi wa Katiba na sheria zilizotungwa kwa mujibu wa Katiba. Mbona Tume ya Maadili ya Viongozi inaendesha zoezi la kuchunguza mali za wabunge kwa kutuita na kutuhoji hamna kelele.
Msitetee uhalifu. Acheni tuhojiwe na kama tuna makosa tuwajibike. Hakuna visasi hapa!
Zito tupo ukurasa pamoja na nawasihi tusitete wizi !
Nashawishika kusema Mwakyembe kamuomba tena Mwanakijiji amtete..na kwa kuwa mwanakijiji alishafanya utetezi kwa kina Nisa swai na sakata lake ,alifanya hivyo Mama Sopha Simba basi aandike utetezi wake mwingine kwa mwakyembe kuwa anaonewa na niko tayari kumjibu kwa hoja kali zaidi.
Go on Cuzn na Pinda ataendelea kuwa Waziri Mkuu na nina Imani kubwa sana na Dr. Hoseah!
Sijaona sehemu ya kumsurubisha hoseah kwa kuwa hata suala la RDC mnajua tatizo lipo wapi
Ahaaa....unajua kwa sababu ni mmoja wao. Kama si mmoja wao sema umejuaje.
Julius unapenda sana sifa..
Tatizo lako una kaujeri jeuri flani hivi. You need to have a spirit of humbleness in you if you want to go further in your political career.
Mimi nimekuuliza wewe unajuaje hao wabunge wanafanya kama ulivyodai wanafanya. Wewe ukanijibu unajua. Kunijibu kuwa unajua hujajibu swali langu. Jibu swali, wewe umejuaje wanafanya hivyo? Siyo swali gumu hili.
And does it matter if you are clean or not? Of course it does. You can't be throwing all these stones while you live in a glass house.
And don't get it twisted. I know good and well that two wrongs don't make a right.
Julius tatizo lako haumpendi zito na maswali yako ni dharau na kumuabisha Mhe Mbunge..
kama aliwatikisa kwanini bado mnamchukia?muacheni na vijana mpendane..