Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Mwenzako ni mheshimiwa mbunge, kodi yako unamlipa mshahara kila mwezi! pole we!. Kama unamwongelea Zitto na hakuna anayekuongelea wewe nji hii, mkuu ujue kakuacha sana, na kinachoonekana kwako ni wivu tu, nothing else lakini sio mitazamo tofauti, hii sio Dowans, hii ni thread nyingine kuleta mambo ya Dowans huku ni kuwa na kihoro na kijiba cha moyo mkuu ebu jiangalie tena. ebu anzisha thread wewe na aanzishe Zitto uone nani watachangia sana! Duhu!
Duh,
Naona sasa JF imekuwa kama michezo ya kidali poh. Yaani mkuu waberoya umeamua kuongea utumbo kiasi hiki. Kwamba unaleta michezo ya kitoto ya kutaka kuonekana nani popular vile. Yaani mambo yale ya high school kind of.
Mf:
Waberoya -- baba yangu anamzidi baba yako
Zitto -- no, baba yangu ni bora kuliko baba yako
mwanajf mwingine -- baba yangu ni askari polisi wakati baba yako ni mlinzi
waberoya -- baba yangu akitoka kuoga nyumba yote inajaa moshi
Zitto -- nyie hamnijui mimi kuwa ni mbunge kwa hiyo baba yangu ni mdosi.
mwanajf mwingine -- acha hizo wewe, ndio maana una koti la njano.
waberoya -- nyie wote na baba zenu mkichanganywa na maji mnabaki maji tu
kengele inagongwa na watoto wanakimbia kurudi darasani.
Kuna watu tunapingana thread moja na kupatana thread nyingine!, this is how life is in JF , mkuu umebakia na Dowans vithibitisho huna(kasema vitoeni), nenda mwenge pale kanunue nguo mpya! hujasema hili la posho kama kapatia ama kakosea unabaki amefulia! aibu hii.
Zitto yuko very familia na jina langu, nampinga na niligombana naye sana swala la ruzuku, na anapotoa point nampa credibility yake, lakini sina kinyongo naye , I too making mistakes sometimes!
Unajua wakati nakua nilielezwa wambeya dunia hii ni jinsia ya kike, siku hizi ideology hii siikubali tena!
Haya ya umbea na jinsia za kiume na kike sijui yameingia vipi hapa? Au ndio kuishiwa huku?
Mchukie mwenyewe na familia yako, wengine hatumo huyu kijana kafanya remarkable changes and moves nyingi ndani ya bunge kiasi ambacho wewe hutaweza kufanya katika maisha yako yoote achilia mbali ukoo wako
wakati huo huo wakati wakiwa darasani ***
waberoya -- unajua ukoo wetu ni mkubwa kuliko wa mwalimu sayi?
Zitto -- acha hizo wewe, ukoo wangu unazidi wa kwako na mwl Sayi.
*** Mwl Sayi -- hivi nyie hapo si mnyamaze?
Huyu Zitto alitaka kunipindua mimi na serikali yangu(nikiwa waziri) DARUSO kwa madai ya tunabebwa na uongozi wa chuo, yet I have no any enemity with him! neither that I will have
Waberoya -- sawa mwl tutanyamaza baada ya huyu chakubanga hapa
mwanajf mwingine -- unamwita nani chakubanga?
waberoya -- wewe hapo na baba yako polisi
*** Mwl Sayi -- nyie watoto acheni bange zenu
Kuna watu mpaka mnaboa! nimekaa sana uchagani miaka sita, nimesoma Umbwe, Moshi Technical na Old Moshi, I know history of people over there , najua ni nani wana hasira ya kuua mtu, ni nani wapole maana wachaga ni mjumuisho wa makabila madogo madogo mengi na wanaongea lugha tofauti
Kwa haraka haraka ile point yako ya uchaga nimeshajua wewe ni wawapi na ndio maana unahasira sana
Waberoya -- hapana mwl, siyo bange, ni bangi
Mwl Sayi - what.......ever!!!!!!!!
Ungekuwa na uwezo wa kuona na na Zitto haraka haraka ungeweza hata kumchoma kisu!
Nikiendelea na analysis wewe ni mzee ki-umri kuliko hata Zitto maana ndiye pekee wenye damu za kizamani, damu mpya ya wachaga yaani kizazi kipya hawana hizo tabia za hatred!
Waberoya (huku akimgeukia Zitto) -- au wewe unasemaje?
Zitto -- je kwenye nini?
Waberoya -- ni bange au bangi?
Zitto -- ni bange
Mkuu nimeoa kwenu(Kilema) usishtuke, mimi mnyaki ukisema wanyaky wanapenda wanawake nitacheka na kusema ok, nikisema wakibosho kama wewe visu mkononi! usishtuke pia, nikisema wamarangu wanapenda maendeleo, warombo wasomi, wamachame wafugaji yet, wanatananiwa wanawake wao wanapenda fedha , Hizi story zipo mkuu, lakini tunasihi kwa raha.Zitto angetukana wachaga kama ulivyosema hili hali yuko Chadema, hata wachaga wenzako ukiwaambia hili wanakuwa confused! anyway hakuna mchaga mwenye akili ata-incline na wewe!
Waberoya -- wewe nawe sasa unaniangusha
Flap flap flap flap (mwl Sayi anasogea taratibu)
*** Hivi nyie mna matatizo gani?
Zitto -- sio mimi mwl, ni hawa wachagga (huku akinyoosha kidole)
Mwanajf mwingine -- mimi sio mchaga, mimi ni msukuma
Waberoya -- si ulisema wewe mnyaki?
***** makelele kibao hata hawaeleweki ...
Zitto -- Nani kasema yeye mnyaki?
Waberoya -- sio wewe mheshimiwa zitto, ni huyu mtoto wa polisi!
Zitto -- ah haaa
Kusema kuhusu kabila mkuu umeweka moyoni kiasi hicho( na alisema nini, alikuwa kwenye mood gani, wewe haukosei??), Tanzania hii, kila kabila linasemwa kwa tabia yake mbaya, ambayo imegeuka visifa zama za leo!
Kizazi cha sasa hatuzungumzii chuki , hoja na facts! after all Zitto hakulishi! why bother
I am assuming that I am writing sms in my cellphone, the moment I send message, it displays
'MESSAGE SENT'
When you send yours I can opt to read or to delete! ila ujumbe umefika.
La mwisho ukumbuke JF ni hiyari si lazima ujibiwe
Mwl Sayi -- Zitto na waberoya, wachaga wamewakosea nini?
waberoya -- simu yangu imeishiwa chaja
Mwl Sayi -- simu ya nini sasa hapa?
Waberoya -- sio lazima ujibiwe..... message sent.