Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
VUTA-NKUVUTE hamko uchi tu bali uchi wa mnyama....mikataba mibovu waliopitisha ni ccm. sisiem ingefaa kutangazwa kama janga la kitaifa
POPOmaCCM ni majitu ya ovyo sana....yalishangilia wakati mikataba ya ovyo inatungwa na sasa tena maikataba hiyo inapofumuliwa, magamba wanashangilia pia! Hawa vipi?
Wewe unasemaje kuhusu undumila kuwili wa macc? achana na maoendekezo ya bunge wala sijui mbunge nani kasema nini!! nataka naoni yako wewe jingalao.Jana Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu akizungumza na gazeti hili, alisema sakata hilo linatakiwa liishe kwa kuwa linaumiza uchumi wa nchi kwa kuwa mtambo wa IPTL ni matatizo.
"Hili jambo kwa namna yoyote lazima liishe na kwamba mwisho wake ni bora tutaifishe ule mtambo na ufie mbali," alisema Mangungu.
Nimekupata RC!
Mzee Tupatupa
Watu kama wewe ndio mnaosababisha hata rais aamue kufumbia macho mambo haya yaliyopigiwa kelele bila hatua yoyote. Na ukweli akiamua kufumbia macho na kuendelea kama wenzake waliopita anaweza na hakuna lolote mtaifanya ccm na uchaguzi ukifika watashinda kwa kishindo. Tumuombee Mungu Rais bila kulete ushabiki wa kisiasa au upepo unaweza kumbadili tukajikuta hali imebaki ilivyokua.Mngechuna tu. CCM sasa itadhalilika tena. Kuhusu madini,ilitubidi makada tujikaushe na kuwa vigeugeu kuhusu kuyalinda madini. Sheria na mikataba ilipofanyika sirini,makada tuliunga mkono na kushangilia
Wapinzani waliotaka uwazi wa mikataba na usawa wa kisheria walikuwa maadui zetu. Tuliwaponda bila kuwapenda na tuliwataka viongozi wetu chamani waongeze mwendo wa jembe na nyundo. Wapinzani walisema kwa kuhema,tukawakebehi kama watu wa Bahi. Mambo yakawa yalivyo
Sasa,bila aibu hata chembe hata ukubwa wa wembe,tunamshangilia Rais na Mwenyekiti wetu kurekebisha Sheria na kuianika mikataba. Ile ile ya wakati ule. Kwa jambo hili,CCM tukavuliwa nguo na kudhalilika kiuhakika. Lakini,kisiasa inakubalika.
Sasa TAKUKURU mnalenga kutuvua tena nguo wanaCCM. Kuanzia Mwenyekiti wetu hadi kada wa shina,msimamo wetu ni kwamba Escrow haikuwa pesa ya umma. Waliosema za umma tuliwazodoa na kuwashambulia kwa hoja za haja. Tulisema waliochota Escrow wamechota pesa zao. Na waligawa zao.
Wamehujumu vipi pesa zao? Itakuwaje waliogawiwa wote wakiunganishwa nao kama Mushi alivyounganishwa na Melo? Wote ni makada. CCM si itatikisika kuliko miti wakati wa masika? TAKUKURU,mngetuacha tupumue jamani
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Nimeomba kuonyeshwa tamko la CCM kuhusu Esxrow.Wewe unasemaje kuhusu undumila kuwili wa macc? achana na maoendekezo ya bunge wala sijui mbunge nani kasema nini!! nataka naoni yako wewe jingalao.
Bashite anazidi kuchanganyikiwa kadri siku zinavyosonga!!Nimekupata RC!
Mzee Tupatupa
Mngechuna tu. CCM sasa itadhalilika tena. Kuhusu madini,ilitubidi makada tujikaushe na kuwa vigeugeu kuhusu kuyalinda madini. Sheria na mikataba ilipofanyika sirini,makada tuliunga mkono na kushangilia
Wapinzani waliotaka uwazi wa mikataba na usawa wa kisheria walikuwa maadui zetu. Tuliwaponda bila kuwapenda na tuliwataka viongozi wetu chamani waongeze mwendo wa jembe na nyundo. Wapinzani walisema kwa kuhema,tukawakebehi kama watu wa Bahi. Mambo yakawa yalivyo
Sasa,bila aibu hata chembe hata ukubwa wa wembe,tunamshangilia Rais na Mwenyekiti wetu kurekebisha Sheria na kuianika mikataba. Ile ile ya wakati ule. Kwa jambo hili,CCM tukavuliwa nguo na kudhalilika kiuhakika. Lakini,kisiasa inakubalika.
Sasa TAKUKURU mnalenga kutuvua tena nguo wanaCCM. Kuanzia Mwenyekiti wetu hadi kada wa shina,msimamo wetu ni kwamba Escrow haikuwa pesa ya umma. Waliosema za umma tuliwazodoa na kuwashambulia kwa hoja za haja. Tulisema waliochota Escrow wamechota pesa zao. Na waligawa zao.
Wamehujumu vipi pesa zao? Itakuwaje waliogawiwa wote wakiunganishwa nao kama Mushi alivyounganishwa na Melo? Wote ni makada. CCM si itatikisika kuliko miti wakati wa masika? TAKUKURU,mngetuacha tupumue jamani
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hao wanywa maji ya benderajingalao Troll JF Wakudadavuwa stroke YEHODAYA Lizaboni cocochanel & CO!
Eti takukuru wanakihujumu chama??
Hebu Msikilize mwenyekiti Msataafu wa CCM hapa.Deo Filikunjombe alikuwa ni mwanaccm au?
Sasa mbona tena chadema wanawapokea hao (majizi) hadi kuwafanya wagombea urais?!Ccm wamefundisha watu wengi kuwa wezi. Hao ndiyo role model ya wizi tz
Ujue huyo mwenzio ni jingalao kweli kweli kwa hisani ya lichama lenu?