RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Hakuna mwananchi asiyependa maendeleo lakini tozo zenu zimekuwa mwiba mkubwa kwa wananchi hilo mnalijua badala ya kupunguza matumizi makubwa Serikalini nyie mnazidi kuongeza mzigo kwa wananchi
Habari ya Kakoko kupelekwa TAKUKURU hayo ni mambo yenu kwani CCM hakuna aliyemsafi, mkisema mchunguzane kauli mbiu yenu ni chukua chako mapema kashifa za bandari na maeneo mengine zimetajwa na CAG hakuna sehemu hamkupoteza mapato tena kwa wizi.
Huko nyuma tumeshasema nyie ndio mnaoandaa kila kitu kuanzia sheria hadi mikataba hadi bajeti zote za nchi kwani walio wengi ndio hupewa kipaumbele kupitusha sheria mbovu na CCM ni nyie wenye sauti bungeni mkitofautiana mitazamo mnazikana mnaachiana nyie wenyewe. Tumeona kashfa za IPTL na ESCROW yupi aliyetiwa hatiani kwa kula fedha za umma? jibu ni hapana mnachofanya ni kudanganya wananchi kuwa mnachukua hatua kumbe huko mmetofautiana kimtazamo! Kuna msemo wengi wanaopenda kuutumia kuwa CCM ni ukoo wa panya hii ni kweli kabisa mkurugenzi anakuka kwa urefu ya kamba yake; DAS hivyo hivyo , RC, RAS, Mawaziri n.k. wanakula kwa urefu ya kamba yao.
Tunachokiomba fafanueni kuhusu tiozo hizo ambazo zimeleta taharuki kwenye jamii kukaa kimya Waziri wa Fedha bila kufafanua kunaketa sintofahamu kwenye jamii!
Masuala ya sensa na Kakoko hayawezi kutusahaulisha jambo hilo kwani hili kila siku linatuumiza, Kakoko na TAKUKURU hayo ni yenu mkitifautiana huko maana nyote ni wapigaji tu.
Habari ya Kakoko kupelekwa TAKUKURU hayo ni mambo yenu kwani CCM hakuna aliyemsafi, mkisema mchunguzane kauli mbiu yenu ni chukua chako mapema kashifa za bandari na maeneo mengine zimetajwa na CAG hakuna sehemu hamkupoteza mapato tena kwa wizi.
Huko nyuma tumeshasema nyie ndio mnaoandaa kila kitu kuanzia sheria hadi mikataba hadi bajeti zote za nchi kwani walio wengi ndio hupewa kipaumbele kupitusha sheria mbovu na CCM ni nyie wenye sauti bungeni mkitofautiana mitazamo mnazikana mnaachiana nyie wenyewe. Tumeona kashfa za IPTL na ESCROW yupi aliyetiwa hatiani kwa kula fedha za umma? jibu ni hapana mnachofanya ni kudanganya wananchi kuwa mnachukua hatua kumbe huko mmetofautiana kimtazamo! Kuna msemo wengi wanaopenda kuutumia kuwa CCM ni ukoo wa panya hii ni kweli kabisa mkurugenzi anakuka kwa urefu ya kamba yake; DAS hivyo hivyo , RC, RAS, Mawaziri n.k. wanakula kwa urefu ya kamba yao.
Tunachokiomba fafanueni kuhusu tiozo hizo ambazo zimeleta taharuki kwenye jamii kukaa kimya Waziri wa Fedha bila kufafanua kunaketa sintofahamu kwenye jamii!
Masuala ya sensa na Kakoko hayawezi kutusahaulisha jambo hilo kwani hili kila siku linatuumiza, Kakoko na TAKUKURU hayo ni yenu mkitifautiana huko maana nyote ni wapigaji tu.