Ziada Mwana
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 201
- 22
Dk Slaa alisema kuna ushahidi kwamba mmoja wa mgombea aliyeondolewa, alitoa rushwa kwa wapiga kura kutoka mikoani kwa kuwatumia fedha kwa njia ya M-pesa. Alisema chama hicho kimejipanga kuepuka vitendo vya ukiukaji wa maadili ikiwa ni pamoja na kutoa na kupokea rushwa.
(Mwananchi 29 May 2011)
(Mwananchi 29 May 2011)