Tako/Taco

Tako/Taco

Ukitaka kutokosea ktk kuagiza jaribu kufanyia mazoezi hili neno kwa kulirudia mara tano kwa sauti. Tamka KOMATA kwa sauti mara tano kwa kurudia rudia.

Mkuu utaweza kuagiza mbona🤣
🤣🤣Mtanivunja mbavu
 
Niko mgahawani hapa....nimemuomba weita tena kwa kumnong'oneza anipe tako mbili.. za fasta zilizo jaa nyama..
Naona amekimbia kwenda kwa meneja sa sjui ni za kuoda ??
🤣🤣🤣Dah
 
Kama unashindwa kuagiza, ukifika waiter akija, vua suruali mgeuzie wezere mwambie naomba tako
 
Back
Top Bottom