Taji liundi na miss tanzania!!!!!

Taji liundi na miss tanzania!!!!!

Moony

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
1,599
Reaction score
437
NAMWONA Taji akitangaza. Hivi huyu jamaa ni ana mkataba kutangaza haya mashindano? kwa kweli anaboa na hayachangamshi. Anaboa, yuko stiff sana, tangu miaka nenda rudi hamna jipya ratiba ni zilezile tu afadhari hata KIBONDE!
 
Hiyo biashara inakwenda kwa majina, kuna watu ni wana Dar es salaam hata uwe vipi hupati, wewe angalia tu kuna watu huwa wanakuja na idea nzuri na vitu ambavyo productive lakini udhamini hawapati, lakini anakuja mtu na idea ya kupambanisha sijui mashabiki wa timu za ulaya utashangaa anapata udhamini mnono though shughuli haina maslai kwa taifa kivile. Nadhani wameangalia uwezo na wepesi wa kuzunguusha ulimi kwa lugha ya malkia though waliohudhuria wengi ni wabongo (not applicable sana)
 
mashindano ya hapahapa na manufaa ya wabongo, lugha ya malkia ya nini? au wanapewa masharti
 
Back
Top Bottom