Taja walimu wa Physics Tanzania ambao wapo vizuri

Kijana ushe2

Senior Member
Apr 6, 2017
176
122
Naomba umweke mwalimu yeyote ambae ni mtambo wa physics kwa Tanzania yetu. Mimi naanza na;

1. MATHIUS MGONYA (Physics) huyu jamaa ni shida peleka swali kwake hautaamini huyu mwamba mbona hatari.

Anapenda kuwasaidia wanafunzi wanaopeleka maswali kwake! Pepa hilo nalo hatari. Huyu ni nambari za juu kwa physics. Mtambo wenye masters degree kwa sasa.
 
Naomba umweke mwalimu yeyote ambae ni mtambo wa physics kwa Tanzania yetu. Mimi naanza na;

1. MATHIUS MGONYA (Physics) huyu jamaa ni shida peleka swali kwake hautaamini huyu mwamba mbona hatari.

Anapenda kuwasaidia wanafunzi wanaopeleka maswali kwake! Pepa hilo nalo hatari. Huyu ni nambari za juu kwa physics. Mtambo wenye masters degree kwa sasa.
wewe unadanganya watu,mgonya hajui physics yoyote ni kumkuza tu hapa,nahisi wewe ndio mgonya mwenyewe na umeamua kujifungulia uzi;
mimi nimesoma hapo tarime secondary,naijua vizuri tarime secondary na mgonya namjua vizuri sana,ni mtu fulani mjinga mjinga hivi hana lolote la maana kujifunza kwenye physics hii;
hivyo usidanganye watanzania hapa;
Mathius Mgonya hajui physics kwa kiwango ukisemacho ila ni mwalimu wa Physics;
nakukumbusha ni mwalimu tafadhali;
acha uongo wako;
 
Naomba umweke mwalimu yeyote ambae ni mtambo wa physics kwa Tanzania yetu. Mimi naanza na;

1. MATHIUS MGONYA (Physics) huyu jamaa ni shida peleka swali kwake hautaamini huyu mwamba mbona hatari.

Anapenda kuwasaidia wanafunzi wanaopeleka maswali kwake! Pepa hilo nalo hatari. Huyu ni nambari za juu kwa physics. Mtambo wenye masters degree kwa sasa.
Alafu ukisha wataja pia utaje wameitumiaje hiyo physics kuisaidia hii nchi ambayo tunaagiza mpaka toothpick za chips kutoka china.
 
Daah...!
Marehemu Mudy Physics ndio mwalimu wangu bora wa physics.
O'level & A'level nimepiga pindi kwake hapo mchikichini jijini Dar.
Mudy Physics ndio aliofanya kulipenda na kulioa somo hili jepesi, jamaa alikua na ufundishaji mzuri sana yaani huwezi toka kapa.
 
Alafu ukisha wataja pia utaje wameitumiaje hiyo physics kuisaidia hii nchi ambayo tunaagiza mpaka toothpick za chips kutoka china.
Physics ile tuliyosoma sio ya kufanyia application kwa asilimia kubwa tumesoma kwa theory tupu. Haitoi nafasi kwa mwanafunzi kufanya application au invention zaidi ya kumeza formulas na laws kujibia mtihani.
Na hawa miamba wanaosifiwa kwenye huu uzi ni sehemu ya tatizo nahis hata ukiwapa betri kuweka kwenye remote ya TV watapeleka kwa fundi au atengeneze simple transistor radio receiver atakimbia
 
Swali pana kwelikweli...Kila mmoja atataja mwalimu wake aliyemfundisha,labda Kama ingekuwa ligi ya mpira kuchagua good player...
 
Back
Top Bottom