mahadhialy
Member
- Oct 19, 2019
- 45
- 24
Habari zenu wana JF, ninaomba tutaje nyimbo zinazo hits sasa hivi kitaani. Sisi nyimbo inayo hits zaidi kitaani kwetu ni Jeje of Diamond Platnumz
Umeambiwa ngoma zinazofuata hit kitaani kwenu sio unazopenda uwe unaelewa.Nas Escoba-i know I can, Psquire ft.Dave Scott-bring it on,Bob Marley-war,Weusi-jasiri, Chid-benz-natubuTouch and hold a clip to pin it. Unpinned clips will be deleted after 1 hour.
[/QUOTE]Kwa hiyo wewe unajua ngoma Kali mtaani kwetu si uzipost
Umeambiwa ngoma zinazofuata hit kitaani kwenu sio unazopenda uwe unaelewa.
[/QUOTE]Kwa hiyo wewe unajua ngoma Kali mtaani kwetu si uzipost
Umeambiwa ngoma zinazofuata hit kitaani kwenu sio unazopenda uwe unaelewa.
Sasa wimbo Kama war wa Bob Marley unatambaje kitaani?wakati ni wa muda mrefu Sana.si huo tu hata alpha blond-masada,sugu-mikononi mwa polisi, Nuruel ft.Mishi-chondechonde,jafarahi ft.daz mwalim-niko bize yaani Kama sherehe hapa kitaani