Natumaini kwa namna moja au nyingine utakuwa umehudhuria sherehe/hafla katika jiji la Dar es Salaam, je ni ma-MC gani uchwara uliowahi kukutana nao shereheni na wakafanya sherehe kuwa mbaya kutokana na kuboa watu?
1. MC PILIPILI a.k.a ZAKAYO - hiki kijamaa kinalazimisha u-MC lakini hawezi huyu labda aende kwenye kupiga ngoma za kienyeji huko kwao DODOMA.
1. MC PILIPILI a.k.a ZAKAYO - hiki kijamaa kinalazimisha u-MC lakini hawezi huyu labda aende kwenye kupiga ngoma za kienyeji huko kwao DODOMA.