Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,693
- 40,896
Cheka yake japo mwishoni nilijajua kumbe ilikua ya kinafiki
Mtu kama muongo muongo ni hatari sisi wengine tunapiga dry mkuuTangu lini Mkuu ujasiria papuchi ukahusishwa na ukweli!?
Mtu kama muongo muongo ni hatari sisi wengine tunapiga dry mkuu
Ungeanza na ww kwanza mkuuMara nyingi watu wanapokuwa wanazungumzia ma ex wako, huwa wanawazungumzia in a bad light. Mara utasikia wakisema ex wao alikuwa mchoyo, katili, hajui kucare, machafu, mbahili, muongo, mchunaji n.k
Mara chache sana utasikia mtu akimzungumzia ex wake in a good light, e.g ex wake alikuwa mpole, mkarimu, anajua kuonyesha upendo, ana heshima n.k
Sasa leo jaribu kutaja atleast kitu kimoja kizuri ambacho ex wako alikuwa nacho. Name one good thing about your ex. Lets discuss...
Alikuwa ananisikiliza mno alikua anajua kunibembeza nilichotaka alinipatia bata kwa sana,huwa nammissmiss sometime ila acha waoane aisee
Lile lidada lilikua na matusi hata shetani haoni ndani
Hapana tulijikuta tunatukanana na ndiyo ukawa mwisho wetu
Alaf c ajabu ww ndo ulijitosa
Kumwacha
pole sana kakaa alikuwa anakuniyima nnMchoyo
Alikuwa na hela, mbili alikuwa anajua Ku-care, out za kila weekends na zimiss