Taifa stars vs Mozambique.

Taifa stars vs Mozambique.

Wakuu,mi naona tuwaite akina cristiano,messy,van persie,gaucho waje walale na dada zetu wa kibongo ili watoto watakaozaliwa wabaki tanzania na kutuwakilisha kwenye michuano kama hii.
 
whiuuuu! Tukishinda nasherehekea ushindi hapa!
 
1-1 FT with aggregation of 2-2
no extra time, straight to penalties. Tanzania misses their first kick, Moçambique as well.
 
mbona sielewi? Penalt au 30 minutes?
 
Wakuu kuna mchezaji yeyote amefia uwanjani kama walivyotuahidi wakati wanaondoka?
 
1-1 muda wa nyongeza,source mtandao wa kandanda galacha
 
niko tayari kupokea matokeo ya aina yoyote ya taifa star coz hawaaminiki vinginevyo ni kujiongezea stress tu...
 
Back
Top Bottom