Tujuzeni waliokosa peneti.
Tulishazoea!! Acha vijana warudi, next time tutajifunza zaidi!!
Muda wote huu hatujajifunza tu....??Tulishazoea!! Acha vijana warudi, next time tutajifunza zaidi!!
hahahahaaah!! Hii Ya wapi hapo kwenye bluu??kiume ndo nini sasa, huo ndo upumbavu wetu watanzania gutimu gumefungwa unasifia eti walipigana kiume,. Tulivo mazezeta tutaenda kulipokea litimu bovu limetolewa uwanja wa ndege,.
kiume ndo nini sasa, huo ndo upumbavu wetu watanzania gutimu gumefungwa unasifia eti walipigana kiume,. Tulivo mazezeta tutaenda kulipokea litimu bovu limetolewa uwanja wa ndege,.
Mkuu ninahasira hapa acha tu, niliamua kuandika hivyo kuhofia ban!! Timu haifanyi maandalizi ya kutosha, hapo hapo inajaza wavuta bangi, ukiangalia msingi wa soka nchini unakosa wapi/vipi tunatengeza vipaji vya kuweza kushindana. Hatuna viongozi wabunifu, tunao viongozi wanaoongoza kwa kuiga, mazoea na kutaka kujitajirisha bila kujali wananchi kupitia viingilio wanatutengenezea maradhi na kutupunguzia siku za kuishi.mkuu kama ni kujifunza basi tungekua hata kwenye top50 kwenye rank ya dunia,tutafute kitu kingine cha kufanya tu tunashiriki na sio kushindana
Mkuu, inakera sana hii team, ningeandika kama yalivyokuwa moyoni ningekula ban!!Muda wote huu hatujajifunza tu....??
Tumechomoa dk 90,bao ni moja kwa moja sasa
Hahaah! kachanganyikiwa mkuu!! kipigo si kidogo!!hahahahaaah!! Hii Ya wapi hapo kwenye bluu??
Mkuu, achana na mpira wa Bongo!....mpira wa Bongo ni presure tu! usipoangalia utapata ugonjwa wa moyo.duh! Nilikuwa namuita muhudumu sasaaaaaa!? Naend home kichwa chini! Na kubet nimekosa duh!
duh! Nilikuwa namuita muhudumu sasaaaaaa!? Naend home kichwa chini! Na kubet nimekosa duh!