1-1Matokeo please
Tunapigwa leo na ka nchi kadogo tu kama mkoa wa Moro
Nyoni kala red KadiAiseeee
Tunapigwa leo na ka nchi kadogo tu kama mkoa wa Moro
Mzamiru naye red kadiAiseeee
Ndo Mzamiru?Mwakyembe nae red
Leo hakucheza mkuuMwakyembe nae red
Duh!!!!Leo hakucheza mkuu
HahaaaaaaLeo hakucheza mkuu
NdioKwa hiyo red kadi ngapi , mbona sielewi... Mwakyembe amesajiliwa stars?
Mkuu jamaa wanazogoa waliokula red ni Nyoni na baadae kidogo mzamiru mwishoni mwishoni kulichafukaKwa hiyo red kadi ngapi , mbona sielewi... Mwakyembe amesajiliwa stars?