Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
U
GANDA ASHINDI MKUU MASHEMEJI ZNAGU ILA LEOO AWATOKI KWAMCHINA TAKE MA WORDS SHIDA KUBWA IKO CAPEVD HUKOO LESOTHO ANAWEZA FANYA MIUJIZA MKAISHIA KUTAPIKA ZILE BIAToka lini maombi yakasaidia timu kushinda mpira?
Kama ni maombi basi tulitakiwa kushinda mechi kati yetu na Lesotho maana hata kwa wingi tuko wengi, zaidi ya milioni 58 na Lesotho wako milion 2 tu maana maombi yetu yangekua mengi kuliko wao.
Uganda anaondoka na ushindi mnono tu hapa na Lesotho wanashinda dhidi ya Cape Verde.
Cuf pia imulike mechi kati yetu na Uganda tusije kua tumepanga matokeo Uganda watufanyie fair ikitokea tukashinda.