THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,729
- 3,290
Habari wana Jukwa.
Mimi naomba nijiseme kabisa Naipenda sana Team ya Taifa Ya Ghana, Ila nimekuja kushituka baada ya kugundua kua hii Team ya Taifa ina Mashabiki wengii sana kuliko Team ya Taifa yoyote Afrika na hata wazungu ukiwafatilia wanaonekana wanaipenda sana hii Team.
Nikajiuliza kwanini hii Team ina Mashabiki wengi hivi? Tena kuzidi hadi Morroco iliyofika semi Final ya 2022 ya WC.
Nikagundua sababu ya watu wengi kuipenda GHANA kuliko Mataifa Mengine ni ile Issue ya 2010.
Mtu atajiuliza hivi katika ya Morroco na Ghana Nani kafika Mbali kwenye Historia ya WC? JIBU Ni Morroco ila sasa kinachowanyima Morocco Mashabiki wengi Africa na Duniani ni Kua Morrocco walifika Mbali sawa ila Angalia wachezaji wote sio wazaliwa wa Morroco yani First Eleven Robo Tatu wachezaji wamezaliwa Ulaya wamekuja tu Morroco kwa kufata Asili ya wazazi wao.
Ila Ghana Iliyofika Robo Ya WC Mwaka 2010 pale South ilikua na DAMU ya Kiafrica kabisa yani watoto wa Mtaani waliozaliwa Kwenye mazingira ya Utapiamlo wakaonyesha kua Hata sisi inawezekana kupiga boli kama Spain.
Ni Team ambayo wachezaji wengi hawakutokea Academy wametokea kwenye Mfumo wa Mpira wa Africa kabisa ambao hauna Maswala ya Academy.
Hicho ndio hadi Leo Ghana Ina Mashabiki Wengi na Hata Mechi ya Jana Nahisi hakuna banda umiza lilikua na shabiki wa Misri..Yani Ilikua Full KUDUS.
Leo Hii Ghana ikienda Kombe lolote inakua na wafuatiliaji wengi sema tu Saiv kinawatesa Era,Ila Mashabiki wapo wengi sana sema wamekaa kimya wanaumia ambavyo inajitafta.
#TIME WILL COME AGAIN
#VAMOS BLACK STAR
Mimi naomba nijiseme kabisa Naipenda sana Team ya Taifa Ya Ghana, Ila nimekuja kushituka baada ya kugundua kua hii Team ya Taifa ina Mashabiki wengii sana kuliko Team ya Taifa yoyote Afrika na hata wazungu ukiwafatilia wanaonekana wanaipenda sana hii Team.
Nikajiuliza kwanini hii Team ina Mashabiki wengi hivi? Tena kuzidi hadi Morroco iliyofika semi Final ya 2022 ya WC.
Nikagundua sababu ya watu wengi kuipenda GHANA kuliko Mataifa Mengine ni ile Issue ya 2010.
Mtu atajiuliza hivi katika ya Morroco na Ghana Nani kafika Mbali kwenye Historia ya WC? JIBU Ni Morroco ila sasa kinachowanyima Morocco Mashabiki wengi Africa na Duniani ni Kua Morrocco walifika Mbali sawa ila Angalia wachezaji wote sio wazaliwa wa Morroco yani First Eleven Robo Tatu wachezaji wamezaliwa Ulaya wamekuja tu Morroco kwa kufata Asili ya wazazi wao.
Ila Ghana Iliyofika Robo Ya WC Mwaka 2010 pale South ilikua na DAMU ya Kiafrica kabisa yani watoto wa Mtaani waliozaliwa Kwenye mazingira ya Utapiamlo wakaonyesha kua Hata sisi inawezekana kupiga boli kama Spain.
Ni Team ambayo wachezaji wengi hawakutokea Academy wametokea kwenye Mfumo wa Mpira wa Africa kabisa ambao hauna Maswala ya Academy.
Hicho ndio hadi Leo Ghana Ina Mashabiki Wengi na Hata Mechi ya Jana Nahisi hakuna banda umiza lilikua na shabiki wa Misri..Yani Ilikua Full KUDUS.
Leo Hii Ghana ikienda Kombe lolote inakua na wafuatiliaji wengi sema tu Saiv kinawatesa Era,Ila Mashabiki wapo wengi sana sema wamekaa kimya wanaumia ambavyo inajitafta.
#TIME WILL COME AGAIN
#VAMOS BLACK STAR