Taifa linasubiri serikali mpya aliyoahidi Rais Samia

Taifa linasubiri serikali mpya aliyoahidi Rais Samia

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
Mwezi mmoja umepita toka Rais aliposema kwamba anataka kufanya mabadiliko - labda mabadiliko makubwa katika Serikali yake.

Nadhani watu wote wanalitazama hili jambo kwa mtazamo chanya ambapo wanatumaini litakuwa na lengo la kuboresha kazi.
 
Yapo matatizo,kwa mfano,Ustawi wa Jamii,ambapo kuna migogoro ndani ya familia.

Halafu sikuafki Rais juzi alivyounda Tume kudurusu Justice System. It seemed to me a bit superflous.

Yaani, haiwezekani kuunda Tume Huru klia siku, kila mara mahabusu anapokufa mikononi mwa Polisi .
 
Hakuna anayesubiri, nadhani mpo kwenye mchakato wa kupima upepo na kuanda watu kisaikolojia
 
Back
Top Bottom