Taifa limechanganyikiwa?

Kwani yeye ndo alizuia huo mgawanyo wa madaraka
 
Chama langu chadema linaniweka katika halingimu saana.... wamekatushwa tamaa na wanao waoigania
 
Hatupo kimya bali tunafanya tunacho kiweza kulalamika
 
Na hizi fafanuzi je?
Yeye (The Boss), kapiga kivyake alivyoelewa mada. Bila shaka na yeye huo ndio "ufafanuzi" wa mada!

Inawezekana "ufafanuzi" utahitajika hapa. Hili la "ufafanuzi" nalo litaanza kuwa jadi yetu.
 
Are you blind?huoni mambo ya ovyo yanatokea Tanzania?
Naona sana,tulivyokuwa tunasema huyu mama hafai since day one ya uongozi wake chadema wao walikuwa wanasema mama anaupiga mwingi nyie sukuma gang kaeni kwa kutulia anueni matanga jpm kafa, nashukuru leo tunaimba wimbo mmoja[emoji23][emoji23].
 
Naona sana,tulivyokuwa tunasema huyu mama hafai since day one ya uongozi wake chadema wao walikuwa wanasema mama anaupiga mwingi nyie sukuma gang kaeni kwa kutulia anueni matanga jpm kafa, nashukuru leo tunaimba wimbo mmoja[emoji23][emoji23].
nyie sukuma gang kaeni kwa kutulia anueni matanga jpm kafa,[emoji2827]
 
Naona sana,tulivyokuwa tunasema huyu mama hafai since day one ya uongozi wake chadema wao walikuwa wanasema mama anaupiga mwingi nyie sukuma gang kaeni kwa kutulia anueni matanga jpm kafa, nashukuru leo tunaimba wimbo mmoja[emoji23][emoji23].
nyie sukuma gang kaeni kwa kutulia anueni matanga jpm kafa,[emoji2827]

Mimi ni kweli kabisa nilimpongeza kwa post nyingi mpaka nikaanza kuitwa chawa! Ange maintain standard yake angefika mbali sana ila ndani ya circle kuna mengi na kuna mengi na sharubu ni nyingi
 
Umeandika kwa hisia kali sana.

Tanzabia ya leo ina misukule wengi kulikk watu wazima wenye akili.

Tuenddlee kumuomba Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…