katrina kwambiana
Member
- Feb 6, 2015
- 33
- 8
Mmh kwanza nahitaji kujua uyu komba ameifanyia nn nchi hii?maana hapa TBC wanarusha kipndi cha kuagwa uyu komba hii ni television ya taifa na cyo ya ccm how wanampa uyu komba air time iv...na hapo kuna pesa zetu za walipa Kodi zinatumika kuendesha hii shughuli..mbona wanakufa mawaziri ila hawafanyiwi ivo..au kuna yoyote kazi yoyote kafanya kwa taifa hili cyo kwa ccm