KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,758
- 39,493
Sidhani kama kuna ambalo amelifanya kwa taifa hili mpaka aadhimishwe kwani labda kama unamaanisha CCM.....
Vipi kuhusu ile free style aliyoimba pale bungeni "Tunaimaniii na katiiiba" haija kugusa hata kama huungi mkono katiba?
Salam wakuu,
Baada ya Msiba mzito wa Capt J Komba, niliamua kusikiliza kazi mbalimbali alizozifanya. Nimegundua jamaa alikuwa na uwezo mkubwa sana, Yaani alikuwa na uwezo wa kutunga wimbo na kurekodi ndani ya nusu saa. Pia tofauti na nyimbo za akina Diamond, Nyimbo za capt Komba hazichuji kabisa. Halafu zina ushawishi sana.
Kwa kweli kuna kila sababu ya kumuenzi. Tuteue siku 1 ya mapumziko tuwe tunasikiliza track zake. Japo mimi sio CCM, ila kuna wimbo unaitwa Arambee ulikuwa unanishawishi sana, hasa kwenye yale maneno "Wapinzani tuwalete tuwachanechane tuwatupee" dah... huyu jamaa alikuwa hatare sana.
Komba day ni muhimu aisee.
Kiongozi vipi?.We hujawahi kuvutiwa na tungo za huyu jemedari wetu?.
Salam wakuu,
Baada ya Msiba mzito wa Capt J Komba, niliamua kusikiliza kazi mbalimbali alizozifanya. Nimegundua jamaa alikuwa na uwezo mkubwa sana, Yaani alikuwa na uwezo wa kutunga wimbo na kurekodi ndani ya nusu saa. Pia tofauti na nyimbo za akina Diamond, Nyimbo za capt Komba hazichuji kabisa. Halafu zina ushawishi sana.
Kwa kweli kuna kila sababu ya kumuenzi. Tuteue siku 1 ya mapumziko tuwe tunasikiliza track zake. Japo mimi sio CCM, ila kuna wimbo unaitwa Arambee ulikuwa unanishawishi sana, hasa kwenye yale maneno "Wapinzani tuwalete tuwachanechane tuwatupee" dah... huyu jamaa alikuwa hatare sana.
Komba day ni muhimu aisee.
Hizi ni akili za watu wavivu,, badala ya kuja na mada ya kukwamua tanzania kwenye umaskini unazungumzia kuendelea kulala lala tu. Mtu akishakufa amekufa tu.
Pia aliwakosea sana Watanzania na magamba wengine kwa kutukosesha kuwa na Katiba nzuri, sioni kama yeye na hao wengine wanahadhi ya heshima kwa walichokifanya.
Ukichanganya na uhuni wanaondelea kuwafanyia Watanzania wajue watu wana hasira nao sana.
Tungo za Komba zilikuwa za Kipekee,
Kuna wimbo unaitwa CCM nambari wani, huwa sichoki kuusikiliza.
Nyimbo nyingi za Komba zilijaa hisia na utunzi unaokonga mioyo!
Hizi ni akili za watu wavivu,, badala ya kuja na mada ya kukwamua tanzania kwenye umaskini unazungumzia kuendelea kulala lala tu. Mtu akishakufa amekufa tu.
Pia aliwakosea sana Watanzania na magamba wengine kwa kutukosesha kuwa na Katiba nzuri, sioni kama yeye na hao wengine wanahadhi ya heshima kwa walichokifanya.
Ukichanganya na uhuni wanaondelea kuwafanyia Watanzania wajue watu wana hasira nao sana.