Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Kawaida mlevi huzikwa na walevi wenzake na pombe nyingi msibani, mtu wa dini atazikwa na mapambio na sala kemkem, mzinzi atazikwa na wazinzi wenzake.
Atajua mwenyewe na Mungu wake; sisi kazi yetu ni kumzika period.
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
Wewe unayewaita wenzako wazinzi wewe ni msafi??
Au kwakuwa unashinda kwenye nyumba za ibada ndio ukajiona umeongoka? Usi judge ndugu yangu hakimu yupo mmoja tu.
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
This is more than jelous. Even to the dead body!!!.
Wewe njoo na hoja si kila baada ya kushindwa hoja mnakimbilia CDM, kama unaweza kutuambia Kanumba si mzinzi tuambie huna nyamaza. Afterall kusingizia kila kitu CDM imeshakuwa old fasheni.Mh nyie CHADEMA mna rohoo za korosho hata kwa maiti.Wakati wa uchaguzi tulisema dr slaa mnzinzi hana mke.mlitetea leo mnajifanya watu wa mungu na kukemea unzinzi.
I dont see any point here.Rais wetu, PM, etc uliowataja ni wa kanisa au msikiti gani?!
Nasikia Marehemu ni Mkristo; Je Padri/Mchungaji alienda kumsindkiza marehemu?!
Rais na serikali yake wana-deal na mambo ya Kaisar....
Tumzike na tumwombee, lakini msifunike ushenzi aliokuwa anaufanya na underage, uzinzi, mfano mbaya kwa jamii, halafu nchi nzima inazizima eti kafa wakati alikuwa anafanya maasi kwa watoto wetu, ndio alikuwa namjenga kipaji mapajani, stupid!!
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
Mkuu naomba nikuunge mkono.. Ninachoona kwa post hii na comments nyingi humu ni jealousy related..
nyeti zinasema kanumba alikuwa kuwadi mkubwa wa mkulu...akimtaka bongo movie yeyote anampigia kanumba direct ...yet woteb ni freemason