Taifa la Ovyo namna hii!

Uongo uongo tu mnayojua
 
Milele amina
 
Kwa Afrika ikitoka madarakani umejitakia mwenyewe
 
Na Kwa kasi wanayoenda nayo, tutafika hiyo 2030! nchi inathamani ya afu saba tu
 
Siasa na kuuwana ni 🩲🍑 huwezi kuwa mwanasiasa Top leader halafu usiue never , Ili uwe Raisi / waziri lazima uwe ambitious mtu ambaye ni ambitious Huwa yupo Tayari kufanya lolote lile ili kulinda maslahi yake/ maslahi Yao ,

Sitetei kinacho fanyika lakini huo ndio ukweli , Kuna wakati tunajilisha tu upepo lakini ukweli ni kwamba kwenye siasa kuuwana ni sawa na mtu kupiga chafya

It's either uuwe au uuliwe 🔨
 
Na hiyo ndio sababu hata viongozi wa tume wanakaa chini wanajitungia matokeo, mawaziri hawana kazi zaidi ya kusifia, makatibu wa wizara hawawezi kushauri nini kifanyike kwasababu hawana uhakika kama ushauri wao utapokelewa

Uzalendo wa nchi yetu siku hizi ubaki kumiliki kadi ya CCM na kuimba mapambio ya kuwapamba viongozi sio kuangalia maslahi binafsi
 
Nonsense ever! hamna mtu atakayewasikiliza sasa hivi, mipumbavu ya kutupwa.Shughuli zinaenda nyinyi bado mmebaki mnang'ang'ania Samia Samia.
Kuna mahali nimemtaja Samia kwenye maelezo yangu?
Au unajisikia tu kuniita mpumbavu?
Unafikiri siwezi kukujibu tusi baya zaidi?
Unafikiri hoja yako itaeleweka kirahisi ukitukana unaopishana nao hoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…