Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
Sisi twendelee kuchukua tahadhari. Tujari afya na maisha yetu👌, hizo barabara tutakuja wasimulia wajukuu zetu😆
Hebu nisaidie hivi hatua za kuipa majina mitaa yetu kupitia watu fulani kwenye jamii zikojeWhat's wrong with that kama siyo wivu!??? Hatua taifa la mzaha, ila raia wabovu kama wewe wenye mizaha. Pole sana
I'm forever sorry that I have even taken time to comment on this poorly addressed question.Hebu nisaidie hivi hatua za kuipa majina mitaa yetu kupitia watu fulani kwenye jamii zikoje
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kujidharau ni shiida sana Afrika; nadhani bara linatafunwa na laana ya mababu walioingia mkataba na Wazungu kuwasaka, kuwakamata kuwatumikisha na kuwauza watumwa ndugu zao.Kibao kingeandikwa Majina ya kutoka Magharibi tungepongeza. Upoyoyo uliokithiri ni kutokithamini cha nyumban kwako!. Ukute mtu anayeponda hajawah kufikia ngazi hata ya uongozi wa familia yake anakuja kumbeza mtu ambaye kwa namna moja kuna watu wamenufaika maishani mwao kupitia Kitila.
Mkuu, ndiyo yeye amaHebu nisaidie hivi hatua za kuipa majina mitaa yetu kupitia watu fulani kwenye jamii zikoje
Sent using Jamii Forums mobile app
Alaaa kumbe!!Kibao kingeandikwa Majina ya kutoka Magharibi tungepongeza. Upoyoyo uliokithiri ni kutokithamini cha nyumban kwako!. Ukute mtu anayeponda hajawah kufikia ngazi hata ya uongozi wa familia yake anakuja kumbeza mtu ambaye kwa namna moja kuna watu wamenufaika maishani mwao kupitia Kitila.
Alaaa kumbe!!
Kwa hiyo niikinufaisha watu flani, lazima nijiite barabara kwa jina langu.
Baaasi imeisha hiyo
Ok, kuwa mjinga sio dhambiHata usipotaka, tutakuita tu, daadek!.
Vizuri sana mr kuku yaani liverkukuSisi twendelee kuchukua tahadhari. Tujari afya na maisha yetu👌, hizo barabara tutakuja wasimulia wajukuu zetu😆
Wee man'gaa una mihemko sana na fisimu. Vipi ingeitwa Tundu Lissu bado mchango wako ungebaki kuwa huu huu.What's wrong with that kama siyo wivu!??? Hatuna taifa la mzaha, ila tu baadhi ya raia wabovu kama wewe wenye mizaha ndio wanatukwamisha. Pole sana
Wanyama alipewa mtaa ilikuwa balaaWhat's wrong with that kama siyo wivu!??? Hatuna taifa la mzaha, ila tu baadhi ya raia wabovu kama wewe wenye mizaha ndio wanatukwamisha. Pole sana