Tai hapigani na nyoka ardhini

Tai hapigani na nyoka ardhini

Atamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.

Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100

lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.

Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.

Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.

Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!

View attachment 2790189

Sent using Jamii Forums mobile app
Kongole sana mawana wane....
 
Point kubwa juu ya ujumbe wako kaka Mshana Jr ni nini hasa kwenye hili jukwaa maana naona kila mtu anazungumza lake!
 
Atamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.

Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100

lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.

Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.

Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.

Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!

View attachment 2790189

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umezeeka halafu ndiyo ukakua kiroho.Bonge la ujumbe
 
5d119469-7dda-4a9e-8295-3ed7bce79566.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.

Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100

lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.

Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.

Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.

Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!

View attachment 2790189

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona hapo nyoka kabamizwa kwenye uwanja wake wanyumbani. Aka kwa mkapa
 
Back
Top Bottom