Kongole sana mawana wane....Atamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.
Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100
lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.
Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.
Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.
Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!
View attachment 2790189
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi sana huwa nakwambia usiwe muongo kwenye mitandao ya kijamii. Jionee:
View: https://youtu.be/zEkOCE525Pk?si=LS6cpLjJSk8JJVEa
Nyoka anafatwa na kutandikwa hapo hapo chini na tai.
Hivi uongo huwa unakusaidia nini?
Mkuu umezeeka halafu ndiyo ukakua kiroho.Bonge la ujumbeAtamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.
Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100
lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.
Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.
Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.
Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!
View attachment 2790189
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu. Nimekupata vyema.Chagua uwanja sahihi wa mapigano ili upate ushindi bila shida
Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢



Mara nyingi sana huwa nakwambia usiwe muongo kwenye mitandao ya kijamii. Jionee:
View: https://youtu.be/zEkOCE525Pk?si=LS6cpLjJSk8JJVEa
Nyoka anafatwa na kutandikwa hapo hapo chini na tai.
Hivi uongo huwa unakusaidia nini?
Sasa mbona hapo nyoka kabamizwa kwenye uwanja wake wanyumbani. Aka kwa mkapaAtamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.
Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100
lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.
Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.
Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.
Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!
View attachment 2790189
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi sana huwa nakwambia usiwe muongo kwenye mitandao ya kijamii. Jionee:
View: https://youtu.be/zEkOCE525Pk?si=LS6cpLjJSk8JJVEa
Nyoka anafatwa na kutandikwa hapo hapo chini na tai.
Hivi uongo huwa unakusaidia nini?
Teh teh teh 😂😂 Yanga bhana...Simba mlishindwa kumkarabati al ahly kwenu!,huko kwake mtadundwa mlie...😅