Mwana leo niko kiroho zaidi ngoja nikuweke kiporo kwanza..lakini sio cha wali ndondoSimba mlishindwa kumkarabati al ahly kwenu!,huko kwake mtadundwa mlie...
Afu hilo swali nilitaka pia kuuliza kwa mfanoMaombi .. Sala na maombi vina nguvu sana
Well said ,God bless you...Atamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.
Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100
lakini haina maana kwamba nyoka ni mdhaifu la hasha. Udhaifu wake unatokana na uwanja wa vita usio wake tofauti na ardhini ambapo ana nguvu ya kujeruhi kuumiza na hata kusababisha mauti.
Chukua vita yako katika ulimwengu wa roho kwa kuomba na ukiwa katika ulimwengu wa roho Mungu anachukua vita vyako.
Usipigane na adui katika eneo lake la faraja, badilisha uwanja wa vita kama Tai na Mungu akusimamie kwa maombi yako ya bidii na ya dhati ya moyo wako.
Utakuwa na uhakika wa ushindi safi!
View attachment 2790189
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe itazame toka mwanzo hiyo wacha kuitazama juujuu. Kauliwa chini huyo akabebwa.wewe bibi unamatatizo.
short video hiyo ndio unaleta ushahidi hapa..?
Nyoka hujaona kakamatwaje clip imekatwakatwa ndio unatuletea hapa ???
wewe ndio wale mtu akisema fisi wanaushilikiano sana wanasaidiana kwenye vita.
Unaenda kutafuta clip ya fisi mmoja katelekezwa kwenye vita na mwenzio kuja kupinga hoja 🤣🤣🤣🤣
Kila kitu kina pande mbili..Afu hilo swali nilitaka pia kuuliza kwa mfano
wewe Si muabudu wa Dini yoyote ila unahisi kabisa kuna Vijibwana vinachezea maisha yangu kwa kuyavuruga kwa makusidi makazini na sehemu zingine yaani unaona jambo linaenda vizuri ila likifika some point ambayo hata ukimwadithia mtu lilipokwamba ye mwenyew anashangaa limekwama. Ghafla ila tu ulikuwa na ushindani nao zaman hao mabwama je umfate huko huko kunako silaha zake (ushirikina) umtandike au ufanye nni?
Tafadhali Proffesor Mshana Jr rudia tena kusoma sasa kwa mfano bado anakuumiza na ulishamsahe ufanyeje kujichomoa kwenye vita na yeye au umfate umchane liveKila kitu kina pande mbili..
Ulimwengu wa nuru na ulimwengu wa giza.. Hakuna kitu kinakosa plan B labda muda tuu
Kwa wasio waumini na waamini ama kwa walio na imani nusu na robo hawa hukimbilia plan B
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwekea hii link ifungue usome mada yote inayo majibu ya hakika sanaTafadhali Proffesor Mshana Jr rudia tena kusoma sasa kwa mfano bado anakuumiza na ulishamsahe ufanyeje kujichomoa kwenye vita na yeye au umfate umchane live
Huo uzi wa kisasi ni moja ya uzi wangu pendwa mwka 2016
Fanya mpango mkambatize kwenye maji mengi, maana upande wa pili kutoka huwa na changamoto sana 😄!.Yale mambo ya uchawi uchawi achana nayo father huku ndo kwenyewe. Nimefarijika sana sio utani.
"Nitakaposimama mbele ya Mungu mwishoni mwa maisha yangu, natumaini kwamba sitakuwa na kipawa hata kimoja kilichosalia na nitaweza kusema, 'Nilitumia kila kitu alichonipa Mwenyezi Mungu wanguYale mambo ya uchawi uchawi achana nayo father huku ndo kwenyewe. Nimefarijika sana sio utani.
Ila siamini kwenye Uislam wala Ukristu bali naamini Mungu tu na kwa imani zetu za asili za KiafrikaMaombi .. Sala na maombi vina nguvu sana
Ni imani pia.. Tena pengine iliyo hakika zaidiIla siamini kwenye Uislam wala Ukristu bali naamini Mungu tu na kwa imani zetu za asili za Kiafrika
Sceptical... Umeuelewa ujumbe wa mwandishi lakini? Harakati za hao viumbe ni mbinu tu ya kuwasirisha ujumbe.Mara nyingi sana huwa nakwambia usiwe muongo kwenye mitandao ya kijamii. Jionee:
View: https://youtu.be/zEkOCE525Pk?si=LS6cpLjJSk8JJVEa
Nyoka anafatwa na kutandikwa hapo hapo chini na tai.
Hivi uongo huwa unakusaidia nini?
usiemjua Tai ni wewe tu, bibi cha ubishiWewe itazame toka mwanzo hiyo wacha kuitazama juujuu. Kauliwa chini huyo akabebwa.
Huwa sikisii.