Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,155
- 137,168
This is the best tried and true method of kicking out oppressive regimes ‘peacefully’.
Kwa wale ambao bado mlikuwa mnavaa nepi na kunyonya pacifiers, nawaletea kwenu maandamano ya Tahrir Square ambayo yaliweza kumng’oa madarakani Hosni Mubarak.
View: https://youtu.be/paLKwOY_6hc?si=oiFgIawp1C1Uuy80
Hakukuwa na jeshi, polisi, wala watu wasiojulikana walioweza kushindana na hiyo nguvu ya umma.
Kumbukeni kuwa, jeshi la Misri ni jeshi kubwa na lenye ubora mara mia zaidi ya hao mgambo na sungusungu wa JWTZ.
Lakini halikufua dafu mbele ya nguvu ya umma.
Hilo hata hapa Tanzania linawezekana kabisa.
Siku tutapoacha uoga na kuamua kuingia mtaani hao Waarabu wa Misri, CCM na kundi lake la wahuni kwisha habari yao.
Imagine kuna sustained mass protests nchi nzima na mamilioni ya Watanzania wanajitokeza na kudai katiba mpya na kuwatimua CCM madarakani, nani atazuia?
Hata JWTZ nao watawaunga mkono wananchi kama vile ambavyo jeshi la Misri lilivyowaunga mkono raia dhidi ya Hosni Mubarak.
This kind of mass protest is unstoppable.
View: https://youtu.be/SmciaHm516I?si=yYktf_tcpgnzpsNx
Kwa wale ambao bado mlikuwa mnavaa nepi na kunyonya pacifiers, nawaletea kwenu maandamano ya Tahrir Square ambayo yaliweza kumng’oa madarakani Hosni Mubarak.
View: https://youtu.be/paLKwOY_6hc?si=oiFgIawp1C1Uuy80
Hakukuwa na jeshi, polisi, wala watu wasiojulikana walioweza kushindana na hiyo nguvu ya umma.
Kumbukeni kuwa, jeshi la Misri ni jeshi kubwa na lenye ubora mara mia zaidi ya hao mgambo na sungusungu wa JWTZ.
Lakini halikufua dafu mbele ya nguvu ya umma.
Hilo hata hapa Tanzania linawezekana kabisa.
Siku tutapoacha uoga na kuamua kuingia mtaani hao Waarabu wa Misri, CCM na kundi lake la wahuni kwisha habari yao.
Imagine kuna sustained mass protests nchi nzima na mamilioni ya Watanzania wanajitokeza na kudai katiba mpya na kuwatimua CCM madarakani, nani atazuia?
Hata JWTZ nao watawaunga mkono wananchi kama vile ambavyo jeshi la Misri lilivyowaunga mkono raia dhidi ya Hosni Mubarak.
This kind of mass protest is unstoppable.
View: https://youtu.be/SmciaHm516I?si=yYktf_tcpgnzpsNx