Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 5,540
- 11,680
Hizo ni dalili wazi za kudhihirisha umri wake umesonga.Hii U-turn yako hii! Kwa kumbukumbu zilizopo ulisema Watanzania wana 'matumaini hewa'!!!
Hizo ni dalili wazi za kudhihirisha umri wake umesonga.Hii U-turn yako hii! Kwa kumbukumbu zilizopo ulisema Watanzania wana 'matumaini hewa'!!!
Jeshi la Misri halikumpindua Mubarak.
Jeshi lilikataa kutii amri haramu dhidi ya raia wa Misri.
Same thing can happen here.
Huo ni uelewa wako [which honestly, is not that much].Kwa hiyo, unawafurahia ( enjoy) Watanzania na habari za Egypt?
Asubuhi njema.
Kwamba wewe ndio unatoa validation za nani na nani aaminiwe?Mjinga wewe baada ya wadau kukuponda kwa ule ujinga wako umeamua kuja na huu uzi kutuzuga umeshapoteza credibility
This is the best tried and true method of kicking out oppressive regimes ‘peacefully’.
Kwa wale ambao bado mlikuwa mnavaa nepi na kunyonya pacifiers, nawaletea kwenu maandamano ya Tahrir Square ambayo yaliweza kumng’oa madarakani Hosni Mubarak.
View: https://youtu.be/paLKwOY_6hc?si=oiFgIawp1C1Uuy80
Hakukuwa na jeshi, polisi, wala watu wasiojulikana walioweza kushindana na hiyo nguvu ya umma.
Kumbukeni kuwa, jeshi la Misri ni jeshi kubwa na lenye ubora mara mia zaidi ya hao mgambo na sungusungu wa JWTZ.
Lakini halikufua dafu mbele ya nguvu ya umma.
Hilo hata hapa Tanzania linawezekana kabisa.
Siku tutapoacha uoga na kuamua kuingia mtaani hao Waarabu wa Misri, CCM na kundi lake la wahuni kwisha habari yao.
Imagine kuna sustained mass protests nchi nzima na mamilioni ya Watanzania wanajitokeza na kudai katiba mpya na kuwatimua CCM madarakani, nani atazuia?
Hata JWTZ nao watawaunga mkono wananchi kama vile ambavyo jeshi la Misri lilivyowaunga mkono raia dhidi ya Hosni Mubarak.
This kind of mass protest is unstoppable.
View: https://youtu.be/SmciaHm516I?si=yYktf_tcpgnzpsNx
I know I can whup your ass.Sometimes yes, Sometimes no!
Nyani is now back to his senses!
Muda mwingine mmenyo wa viazi, moshi wa mafuta,packaging...Kutokea hapo kigambonino+ ukikumbukia U.S.A...Umeme unarudi!, Umeme Unakata!
This is the best tried and true method of kicking out oppressive regimes ‘peacefully’.
Kwa wale ambao bado mlikuwa mnavaa nepi na kunyonya pacifiers, nawaletea kwenu maandamano ya Tahrir Square ambayo yaliweza kumng’oa madarakani Hosni Mubarak.
View: https://youtu.be/paLKwOY_6hc?si=oiFgIawp1C1Uuy80
Hakukuwa na jeshi, polisi, wala watu wasiojulikana walioweza kushindana na hiyo nguvu ya umma.
Kumbukeni kuwa, jeshi la Misri ni jeshi kubwa na lenye ubora mara mia zaidi ya hao mgambo na sungusungu wa JWTZ.
Lakini halikufua dafu mbele ya nguvu ya umma.
Hilo hata hapa Tanzania linawezekana kabisa.
Siku tutapoacha uoga na kuamua kuingia mtaani hao Waarabu wa Misri, CCM na kundi lake la wahuni kwisha habari yao.
Imagine kuna sustained mass protests nchi nzima na mamilioni ya Watanzania wanajitokeza na kudai katiba mpya na kuwatimua CCM madarakani, nani atazuia?
Hata JWTZ nao watawaunga mkono wananchi kama vile ambavyo jeshi la Misri lilivyowaunga mkono raia dhidi ya Hosni Mubarak.
This kind of mass protest is unstoppable.
View: https://youtu.be/SmciaHm516I?si=yYktf_tcpgnzpsNx