TAHLISO waionya Chadema

TAHLISO waionya Chadema

Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO) wamekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kutokana na tabia yake ya kupinga mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali hata kama yana manufaa kwa wananchi na Taifa kwa jumla.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, leo, Rais wa Jumuiya hiyo Frank Nkinda amesema kwa kipindi kirefu, chama hicho kimejijengea tabia mbaya ya kutafuta uungwaji mkono hata katika masuala yasiyo na maslahi kwa Taifa na kupinga mapendekezo yenye dhamira ya kuwaweka watanzania pamoja.

Akitolea mfano wa baadhi ya mambo hayo ikiwemo ripoti ya kikosi kazi iliyokabidhiwa juzi kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imesheheni mapendekezo mbali mbali yenye tija kwa taifa letu. Nkinda alisema wao kama wasomi wa Elimu ya juu hawaoni sababu yeyote ya Chadema kuipinga ripoti hiyo

“Sote tulisikia muhtasari wa kile kilichowasilishwa na Mwenyekiti wa Kikosi kazi, Prof. Rwekaza Mukandala kwa Mhe. Rais, kwakweli dhamira yake ni njema. Sasa tumeshangaa kakikundi kamoja kamekuja juu na kusema mapendekezo haya hayafai na kwamba ni matumizi mabaya ya fedha za umma, lakini ikumbukwe kwamba watu hawa waliitwa kutoa maoni yao wakakataa, sasa wanataka hata yale yaliyotolewa na watanzania wengine kwa uhuru na haki watu wayapinge ”alisema Nkinda

Aliongeza kuwa TAHLISO kama Taasisi inayolea nguvu kazi ya Taifa, kimsingi wana mamlaka ya Kuonya, kukemea na kushauri mambo mbalimbali katika Kuchochea maendeleo ya Taifa.

" Tumesikitishwa na kauli ya Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika ya kuita ripoti hiyo kuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kuwa tu wao walikataa kuwasilisha maoni kwenye kikosi kazi cha Rais" alisema Nkinda

Alisema mtu au taasisi yoyote ya kiungwana ilipaswa kupongeza dhamira iliyoonyeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kutafuta maridhiano ya kitaifa kwa kupata maoni ya wadau juu ya njia gani za kupita kabla ya kufikia hitimisho na siyo kulalamika mbele ya vyombo vya habari suala alilosema halina msingi wowote.

Aliongeza kuwa Watanzania wameipokea ripoti hiyo kwa mikono miwili na wanawapongeza wadau wote walioshiriki kutoa maoni kwenye kikos...
tangu lini TAHLISO ilikuwa chama cha siasa hata inakashfu chama cha siasa?

baadhi ya vijana wa nchi hii ni wapumbavu sana.
 
Kwahiyo na nyiee wapigania demokrasia tunaowamini mnatembelea nyao za CCM?? Lini tutaona utofauti wenu na CCM??
Wewe ni CCM muajiriwa wa CCM kupost ujinga ni kazi ya vijana wa CCM kama hao vijana wa CCM wanaojiita TAHLISO, jibu hoja lini waajiri wako walikubali ushauri wa kuimarisha demokrasia au kwa kumfilisi na kumfungulia kesi Mbowe?
 
Kwani nyiee chadema mnaposema uhuru wa kutoa mawazo Kwa Kila mtu au kikundi, mnamanisha mtu kusema Kila ambacho na nyiee mnakipendaa?? Kama hawajazungumzia juuu ya shambulio la lisu, wewe kusema. Uhuru wa maoni siomtu kumpangia aseme kitu unachokipenda wewe, hawajasema kuhusu shambulio la lisu Leo, maaana yake Hilo halipoo mioyoni mwao, kikubwa kubalini Kwa hili walilolisema juu ya chadema. Kama mnataka Kila mtu aseme mnachotaka nyinyi basi hapo hakuna uhuru wa mawazo ya mtu au kikundi kama chadema mnavyodai. Kubalini mawazo kinzani na nyiee ILI na nyiee mawazo yenu yaonekane kuwa mko sahihi kukosoa wenzenu. Kumbukeni chadema sio malaika wa mbinguni.
We muajiriwa wa lumumba hoja siyo kusema for the sakeya kusema, bali kuweka maslahi ya taifa mbele siyo ya kikundi cha wachache wala nchi wa CCM.
Kwa hiyo wao wanaona wanastahili kusema against CHADEMA siyo for CHADEMA? Huwezi kusupport chama kikongwe kama una akili timamu?
 
Kama hamjaridhika na jicho kikosi kazii, endeleeni kupaza sauti, ila mkumbuke kwamba, sio lazima mawazo yenu ndio yasikolizwe tuu, sikilizeni na mawazo ya wenzenu. Hamjaridhika wekeni mjadala Mpana, ilakumbukeni sio lazima napendekeza yenu yakubaliwe kwani na nyiee sio Malaika wa mbinguni, kubalini na mawazo mbadala. Na kama hamuamini mawazo na kile wakionacho wenzenu, hiyo sio demokrasia Bali itakua ubishi na kelele tuu.
Unadhihisha upumbavu wako hutambui hao waliokutuma hawataki kuwaruhusu CHADEMA kufanya mikutano ya siasa? Wapi wakafanyie huo mjadala?
Halafu jifunze kutumia akili ukiwa unajadili na wenye akili. Ni wapi katiba imekataza mwananchi kujadili maslahi ya nchi? Tunabishana kwa hoja jenga hoja kupangua yao la sivyo na wewe utaonekana mpumbavu kama TAHLISO
 
😃😃😃vijana wadogo tunashida sana asee eti kakikundi
Alafuu bhuuuuh mtu kama uyo anapewa madaraka zaidi ya ayo aliyonayo sasa hivi
Nchi lazima jua liwake sana, mvua tuzikose, umeme ukatike sana na maji yatukimbie
 
Chadema si walikataa kushirikiana na hicho kikosi kazi basi walitakiwa kukaa pembeni waawachie vyama waliokubaliana na kikosi kazi sio wajitokeze na kuanza kutoa mapovu Yao na matamko kama ya waimba taarabu
Wana haki ya kuonyesha mapungufu na matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi kutumika kinyume na katiba.
Au na wewe kwa kukosa kwako akili unajua ni hisani ya raisi?
Je hiyo tume kazi ya tume iko binded kwa ushauri wake kutumika?
Unakumbuka raisi alisemaje kuhusu mapendekezo ya tume?
KILAZA wewe sijui hata unajua implications zake mradi upate ujira wako Lumumba?
 
Hao viomgozi wa TAHLISO sijui wametorka Milembe wakaja kuwaongoza wanafunzi!

Nategemea wakemewe na Mamlaka inayohusika, wasipokemewa uko mbeleni.......
 
Hiyo mamlaka ya kuwakanya na kuwazuia kufanya siasa wameipata wapi? CCM?
 
Shida yenu chadema naludia Tena, mnataka kusikiliza kile mkipendacho. Kwa Nini hamheshim mawazo ya mtu mwingine? Raisi kasema hivyoo, kwani ndio mwisho wa harakati?? Jengeni hoja za msingi, sio kudandia dandia matamko yawatu wengine. Heshimni mawazo ya mwingine ndio demokrasia mnayoihubirii Kila siku
Punguza upumbavu CHADEMA wanafanya kazi ya siasa kwa mujibu wa katiba.
Suala ni moja wapi wamesema hawaheshimu mawazo ya wengine, ni lazima wakubaliane na maoni ya kikozi kazi batili ambacho hata raisi mwenyewe amesema hadharani kuwa siyo sheria?
Utaahira mwingine ni harakati nani mwanahatakati?
Tamko lipi na la nani walilolidandia? Na je kutokukubaliana na mwingine ni kukataa demokrasia?
Kabla ya kukubali hizo kazi kwanza mtafute ufahamu wa mnachotumwa kukitetea
 
Sio Kila pendekezo ulipendalo wewe lazima lipite jamaaa. Lazima lijadiliwe Kwa mapana na Kisha lichunguzwe zaidii. Acheni kulazimisha mawazo yenu huo ni ubishi
Kwa hiyo hawatakiwi kukataa wala kutoa mawazo tofauti?
Kweli CCM imetengeneza kizazi cha wapumbavu
 
Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO) wamekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kutokana na tabia yake ya kupinga mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali hata kama yana manufaa kwa wananchi na Taifa kwa jumla.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, leo, Rais wa Jumuiya hiyo Frank Nkinda amesema kwa kipindi kirefu, chama hicho kimejijengea tabia mbaya ya kutafuta uungwaji mkono hata katika masuala yasiyo na maslahi kwa Taifa na kupinga mapendekezo yenye dhamira ya kuwaweka watanzania pamoja.

Akitolea mfano wa baadhi ya mambo hayo ikiwemo ripoti ya kikosi kazi iliyokabidhiwa juzi kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imesheheni mapendekezo mbali mbali yenye tija kwa taifa letu. Nkinda alisema wao kama wasomi wa Elimu ya juu hawaoni sababu yeyote ya Chadema kuipinga ripoti hiyo

“Sote tulisikia muhtasari wa kile kilichowasilishwa na Mwenyekiti wa Kikosi kazi, Prof. Rwekaza Mukandala kwa Mhe. Rais, kwakweli dhamira yake ni njema. Sasa tumeshangaa kakikundi kamoja kamekuja juu na kusema mapendekezo haya hayafai na kwamba ni matumizi mabaya ya fedha za umma, lakini ikumbukwe kwamba watu hawa waliitwa kutoa maoni yao wakakataa, sasa wanataka hata yale yaliyotolewa na watanzania wengine kwa uhuru na haki watu wayapinge ”alisema Nkinda

Aliongeza kuwa TAHLISO kama Taasisi inayolea nguvu kazi ya Taifa, kimsingi wana mamlaka ya Kuonya, kukemea na kushauri mambo mbalimbali katika Kuchochea maendeleo ya Taifa.

" Tumesikitishwa na kauli ya Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika ya kuita ripoti hiyo kuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kuwa tu wao walikataa kuwasilisha maoni kwenye kikosi kazi cha Rais" alisema Nkinda

Alisema mtu au taasisi yoyote ya kiungwana ilipaswa kupongeza dhamira iliyoonyeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kutafuta maridhiano ya kitaifa kwa kupata maoni ya wadau juu ya njia gani za kupita kabla ya kufikia hitimisho na siyo kulalamika mbele ya vyombo vya habari suala alilosema halina msingi wowote.

Aliongeza kuwa Watanzania wameipokea ripoti hiyo kwa mikono miwili na wanawapongeza wadau wote walioshiriki kutoa maoni kwenye kikos...

Tangu lini mtu mwenye njaa akaweza kuenenda kama msomi? Professors wenyewe wanaopewa hizi assignments na watawala wanaweka usomi wako mfukoni, sembuse hawa pimbi ambao hata shahada ya kwanza hawajapata!
 
Unazidi kuonyesha mapungufu yako ya akili tume ya Warioba ilikuwa na mamlaka kisheria lakini hii kikozi kazi ni kama hisani tu, kwa hiyo unataka wote wawe vilaza kama wewe?
 
Lowasi ndio nani? Umakini kwenye maandiko unakupa umakini kwenye akili. Yako ni takataka uliyoandika
Chadema wangekuwa na msimamo Lowasi asingeweza kuwa mgombea urais wao ,zaidi ya miaka kumi walituaminisha kuwa alikuwa ni fisadi
 
Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO) wamekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kutokana na tabia yake ya kupinga mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali hata kama yana manufaa kwa wananchi na Taifa kwa jumla.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, leo, Rais wa Jumuiya hiyo Frank Nkinda amesema kwa kipindi kirefu, chama hicho kimejijengea tabia mbaya ya kutafuta uungwaji mkono hata katika masuala yasiyo na maslahi kwa Taifa na kupinga mapendekezo yenye dhamira ya kuwaweka watanzania pamoja.

Akitolea mfano wa baadhi ya mambo hayo ikiwemo ripoti ya kikosi kazi iliyokabidhiwa juzi kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imesheheni mapendekezo mbali mbali yenye tija kwa taifa letu. Nkinda alisema wao kama wasomi wa Elimu ya juu hawaoni sababu yeyote ya Chadema kuipinga ripoti hiyo

“Sote tulisikia muhtasari wa kile kilichowasilishwa na Mwenyekiti wa Kikosi kazi, Prof. Rwekaza Mukandala kwa Mhe. Rais, kwakweli dhamira yake ni njema. Sasa tumeshangaa kakikundi kamoja kamekuja juu na kusema mapendekezo haya hayafai na kwamba ni matumizi mabaya ya fedha za umma, lakini ikumbukwe kwamba watu hawa waliitwa kutoa maoni yao wakakataa, sasa wanataka hata yale yaliyotolewa na watanzania wengine kwa uhuru na haki watu wayapinge ”alisema Nkinda

Aliongeza kuwa TAHLISO kama Taasisi inayolea nguvu kazi ya Taifa, kimsingi wana mamlaka ya Kuonya, kukemea na kushauri mambo mbalimbali katika Kuchochea maendeleo ya Taifa.

" Tumesikitishwa na kauli ya Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika ya kuita ripoti hiyo kuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kuwa tu wao walikataa kuwasilisha maoni kwenye kikosi kazi cha Rais" alisema Nkinda

Alisema mtu au taasisi yoyote ya kiungwana ilipaswa kupongeza dhamira iliyoonyeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kutafuta maridhiano ya kitaifa kwa kupata maoni ya wadau juu ya njia gani za kupita kabla ya kufikia hitimisho na siyo kulalamika mbele ya vyombo vya habari suala alilosema halina msingi wowote.

Aliongeza kuwa Watanzania wameipokea ripoti hiyo kwa mikono miwili na wanawapongeza wadau wote walioshiriki kutoa maoni kwenye kikos...
Kweli nimeamini MTU hula uchafu wake ajinusuru
 
Kama hata mpumbavu atakukosoa bila uzito wa hoja basi tutakuwa na taifa la wajinga wasiokuwa critical thinkers tukikubali ujinga wao, na demokrasia siyo kukubali kila upumbavu.
Kwani huko kwenye chama chenu mnamatabaka ya watanzania wa kuwahoji?
 
Back
Top Bottom