Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,012
Kwani time hiyo uliyoitaja ambayo chadema mnaheshim maoni yake, umeambiwa ni msahafu au biblia? Hamnaa mtu au kikundi chenye kutaja kisikosolewe kwani sio Malaika wa mbinguni...kuwa msikivu kwanza.
..Chadema wanatetea hoja zilizowasilishwa na Tume ya Warioba ambaye ni mwana-Ccm.
..Sasa wewe na wana-Ccm wenzako mngetueleza kwanini mnaipinga Tume ya Warioba ambaye ni mwana-Ccm mwenzenu.
Kwani kuwa mwanasisiemu maaana yake nikua malaika ambaye hawezi kukosea? Hapa duniani hakunamkamilifu Kwa jambo lolote lile. Hivyoo mawazo ya Kila mtu lazima yadadafuliwe na wenzake na pia naye akubali mawazo huru mengine juu yakile anachokiamini.
