Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,911
- 21,928
Alafu mtu aseme TAIFA litasonga KWa type la vilaza wasioweza fikilia hata nusu km,
Alafu mtu aseme TAIFA litasonga KWa type la vilaza wasioweza fikilia hata nusu km,
Shida yenu chadema naludia Tena, mnataka kusikiliza kile mkipendacho. Kwa Nini hamheshim mawazo ya mtu mwingine? Raisi kasema hivyoo, kwani ndio mwisho wa harakati?? Jengeni hoja za msingi, sio kudandia dandia matamko yawatu wengine. Heshimni mawazo ya mwingine ndio demokrasia mnayoihubirii Kila siku..kauli njema zaidi ingekuwa ni mawazo ya kila upande yatasikilizwa.
..kwamba juhudi zitafanyika kuzingatia mawazo, mapendekezo, na mitizamo, ya makundi mbalimbali.
..Watz tunapaswa kujifunza kusikilizana na kutafuta maelewano.
..Raisi Ssh amenukuliwa akisema kuwa mapendekezo ya kikosi kazi sio amri kwa serikali yake.
..Kwa maoni yangu Rais hakupaswa kutoa kauli ile kwasababu yeye ndiye aliyeunda na kukipa hadidu za rejea kikosi kazi.
..Kwa hiyo utaona hata Rais Ssh sio msikivu na sio mkomavu ktk masuala ya siasa na demokrasia.
Shida yenu chadema naludia Tena, mnataka kusikiliza kile mkipendacho. Kwa Nini hamheshim mawazo ya mtu mwingine? Raisi kasema hivyoo, kwani ndio mwisho wa harakati?? Jengeni hoja za msingi, sio kudandia dandia matamko yawatu wengine. Heshimni mawazo ya mwingine ndio demokrasia mnayoihubirii Kila siku
Kwani tumeyakataa mawazo yenu? Mbona mnajihami wakati ngoma bado mbichi hii!!!. Chadema sisi tunapokea hata huu uozo wa tahilso ili mradi ujinga huo hatutoufanyia kazi.Chadema kubalini kusikia na mawazo kinzani kwenu pia, hiii ndio demokrasia sahihi. Nyinyi ndio vinala wa kutaja uhuru wa mawazo na kukosoa, Kwa Nini nyinyi hampendi kukosolewa??. Au nyinyi furaha yenu kikosolewe chama kinginee tuuu Kwa kuwa nyinyi ni malaika? La hasha, pokeeni kukosolewa ndio itakuwa sababuu ya kukua kwenu chadema
Mkuu, hao siyo wawakilishi wa vijana bali kikundi cha wahuniPumzika salama Mwalimu umeacha vijana washenzi sana katika taifa hili.
View attachment 2397435
Mbona mnawafokea TAHILSO? Wamekanya na kuwataka msiwe mnakosoa Kila kitu. Sasa naona imewauma saana
..kuna upande usiopenda kusikia hoja za Chadema, na unapinga kila wanalopendekeza.
..mimi napendekeza mawazo ya kila upande yasikilizwe na zifanyike juhudi za dhati kuyatekeleza.
Chadema si walikataa kushirikiana na hicho kikosi kazi basi walitakiwa kukaa pembeni waawachie vyama waliokubaliana na kikosi kazi sio wajitokeze na kuanza kutoa mapovu Yao na matamko kama ya waimba taarabu
Si ndio uhuru wa mawazo? Mko sahihi kukosoa, lakini kubalini na nyiee mnapotakiwa kukosolewaaa. Hiyo ndio demokrasia mnayoihubirii Kila siku.Sisi kukusoa ni wajibu wetu, na hatuna muda wa kuendekeza wanaosifia kila kitu.
Si ndio uhuru wa mawazo? Mko sahihi kukosoa, lakini kubalini na nyiee mnapotakiwa kukosolewaaa. Hiyo ndio demokrasia mnayoihubirii Kila siku.
Siyo utashi wao hao.. wanatumika kwa sababu ya njaa.hao watoto pamoja na kwamba wako chuo kikuu bado wajinga wajinga sasa sijui wanasoma kwaajili ya nini wakati elimu ni ya kuondoa ujinga,ndo maana wakirudi mtaani wanalialia ajira hakuna
Ametoa maoni mazuri sana msomi huyu, lkn huyu bwana anasoma chuo Gani ambacho haitimu masomo yake maana ni kitambo madarakani yumo heeeeJumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO) wamekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kutokana na tabia yake ya kupinga mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali hata kama yana manufaa kwa wananchi na Taifa kwa jumla.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, leo, Rais wa Jumuiya hiyo Frank Nkinda amesema kwa kipindi kirefu, chama hicho kimejijengea tabia mbaya ya kutafuta uungwaji mkono hata katika masuala yasiyo na maslahi kwa Taifa na kupinga mapendekezo yenye dhamira ya kuwaweka watanzania pamoja.
Akitolea mfano wa baadhi ya mambo hayo ikiwemo ripoti ya kikosi kazi iliyokabidhiwa juzi kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imesheheni mapendekezo mbali mbali yenye tija kwa taifa letu. Nkinda alisema wao kama wasomi wa Elimu ya juu hawaoni sababu yeyote ya Chadema kuipinga ripoti hiyo
“Sote tulisikia muhtasari wa kile kilichowasilishwa na Mwenyekiti wa Kikosi kazi, Prof. Rwekaza Mukandala kwa Mhe. Rais, kwakweli dhamira yake ni njema. Sasa tumeshangaa kakikundi kamoja kamekuja juu na kusema mapendekezo haya hayafai na kwamba ni matumizi mabaya ya fedha za umma, lakini ikumbukwe kwamba watu hawa waliitwa kutoa maoni yao wakakataa, sasa wanataka hata yale yaliyotolewa na watanzania wengine kwa uhuru na haki watu wayapinge ”alisema Nkinda
Aliongeza kuwa TAHLISO kama Taasisi inayolea nguvu kazi ya Taifa, kimsingi wana mamlaka ya Kuonya, kukemea na kushauri mambo mbalimbali katika Kuchochea maendeleo ya Taifa.
" Tumesikitishwa na kauli ya Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika ya kuita ripoti hiyo kuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kuwa tu wao walikataa kuwasilisha maoni kwenye kikosi kazi cha Rais" alisema Nkinda
Alisema mtu au taasisi yoyote ya kiungwana ilipaswa kupongeza dhamira iliyoonyeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kutafuta maridhiano ya kitaifa kwa kupata maoni ya wadau juu ya njia gani za kupita kabla ya kufikia hitimisho na siyo kulalamika mbele ya vyombo vya habari suala alilosema halina msingi wowote.
Aliongeza kuwa Watanzania wameipokea ripoti hiyo kwa mikono miwili na wanawapongeza wadau wote walioshiriki kutoa maoni kwenye kikos...
Mbona wewe na wenzio pia mnapinga Uhuru wa Chadema kutoa maoni?Kwani nyiee chadema mnaposema uhuru wa kutoa mawazo Kwa Kila mtu au kikundi, mnamanisha mtu kusema Kila ambacho na nyiee mnakipendaa?? Kama hawajazungumzia juuu ya shambulio la lisu, wewe kusema. Uhuru wa maoni siomtu kumpangia aseme kitu unachokipenda wewe, hawajasema kuhusu shambulio la lisu Leo, maaana yake Hilo halipoo mioyoni mwao, kikubwa kubalini Kwa hili walilolisema juu ya chadema. Kama mnataka Kila mtu aseme mnachotaka nyinyi basi hapo hakuna uhuru wa mawazo ya mtu au kikundi kama chadema mnavyodai. Kubalini mawazo kinzani na nyiee ILI na nyiee mawazo yenu yaonekane kuwa mko sahihi kukosoa wenzenu. Kumbukeni chadema sio malaika wa mbinguni.
Sio Kila pendekezo ulipendalo wewe lazima lipite jamaaa. Lazima lijadiliwe Kwa mapana na Kisha lichunguzwe zaidii. Acheni kulazimisha mawazo yenu huo ni ubishi
Lakini umekubali maoni ya hao TAHILSO?? au na wewe hutaki kukosolewa kama hai uliowatajaNi nani kagomea wewe au nyinyi kukosoa, lakini wakati mnaambiwa muache kujikomba inabidi mkubali pia. Au unataka mkitoa matamko uchwara watu wakalie kimya huo unafiki wenu?
Kwahiyo na nyiee mumekubali kuridhi madhaifu yetu? Sasa ni lini mtatofautiana na sisi ilijamiii iwaone umakini wenu?? Kubalini mlivyokosolewa na TAHILSO hiyo ndio demokrasia, msilithi udhaifu wa mtu nyinyi jipambanueni Kwa kukubali kupokea na kujitafakari pale mnapo ambiwa madhaifu yenu na mwingine. Tena mheshim mawazo ya mtu huyo kabisaMbona wewe na wenzio pia mnapinga Uhuru wa Chadema kutoa maoni?
Au mkuki kwa nguruwe?!