utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,657
nipo ofisini nafnya tahajudi...utulivu tafadhal
Utani huu
nipo ofisini nafnya tahajudi...utulivu tafadhal
hahah mkuu naona amkekugusa palepale.Mkuu Mtambuzi, umetisha!. Umezama deep!.
Asante.
Pasco
Kuna jamaa yangu Rodrick Ntepa aliniambia kaanzisha dini yake inaitwa WANAZARAYO. Na yeye ndiye Mungu wa dini hiyo. Akanifundisha ku meditate. Tulimeditate kwa masaa matatu none stop. Yeye akaniambia alishawahi kumeditate hadi akawa kama mfu. Na siku hiyo alikuwa ameenda kwenye mbingu ya saba ambako anakaa Mungu wa Wakristo.7. Husaidia kuimarisha nguvu yako ya
machale pamoja na nguvu zako za
ziada.