Tahadhari

Tahadhari

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,101
Reaction score
2,610
Wanandoa waliodumu zaidi ya miaka ishirini wamebainika wana ugonjwa wa KISUKARI, utafiti unaonyesha kuwa waliugua kwasababu ya majina wanayoitana baina yao kama: HONEY, MY SWEETY, MY CHOCOLATE nk. Mkinge mpenzi wako na ugonjwa wa kisukari kwa kumuita MY PIRITON, MY KLOROKWIN, MY PANADOL, MY SHUBIRI nk. Imetolewa na WIZARA YA AFYA.
 
mh! Kweli. Halafu kuna mwanandoa mmoja baada ya kupata athari ya hiyo kitu akaanza mchezo wa kufi...lima fiasi. Mkewe akamshtaki baada ya kukerwa. Muathirika wa kisukari akamwambia hakimu kuwa kaambiwa asile vitu vya sukari. Kumbe sukari kaisababisha mke
 
Back
Top Bottom